IDF yagundua handaki na ofisi ya kijeshi chini ya makaburi

Acha kuwaza kama mwendawazimu. Kitu pekee kitakacho ipa Israel amani ya kudumu ni palestina kupata uhuru wake kamili. Amani haipatikani kwa kutumia nguvu bali ni kwa kutenda haki
Palestine ipate uhuru kwa gharama ya Israeli kuachia nchi yake? Hiyo Gaza Ingawa si eneo lao, Israel imewaachia 🤔
 
Palestine ipate uhuru kwa gharama ya Israeli kuachia nchi yake? Hiyo Gaza Ingawa si eneo lao, Israel imewaachia 🤔
Isiongee kama mlevi wa gongo, toa ushaidi gaza ni eneo la Israel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…