Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Ndugu yangu usidanganyika. Hao wanaosema watamkamata Netanyahu, wanawazuga waafrika wenye akili ndogo.Sio lazima akamwatwe kwani Putin alipotolewa iyo Hati we unadhani kuna inchi itasubutu kumkamata Putin!!! Ipo ivi kutolewa iyo Hati. kunafanya utajo wako unaambatana na uharifu ww nimwarifu na unakesi ya jinai. Kwaiyo ni kama umemwagiwa kinyesi unanuka akuna atakaependa kuonana ww mana upinzani seem usika utakushutumu .ila Netanyahu anaweza kwenda ktk nchi zisizo na mkataba wa ICC, zipo nyingi USA CHINA RUSSIA NA Zengine chache.
Hiyo mahakama ya ICC toka kuanzishwa kwake iliwalenga watawala waafrika wanaowaua wananchi wao kwaajili ya tamaa za madaraka.
Netanyahu hatakamatwa na yeyote. Vita ikikoma utaanza kuyasikia hayo mataifa kuwa yamefuta hizo kauli. Si ajabu baadhi ya mataifa hayo yametoa hizo kauli baada ya kuwasiliana na Netanyahu.