IDF yasambaratisha kwa makombora jengo la ghorofa 8 Beiruti huku ikidaiwa mlengwa alikuwa kiongozi mkuu mpya Hezbollah Naim Qassem!

IDF yasambaratisha kwa makombora jengo la ghorofa 8 Beiruti huku ikidaiwa mlengwa alikuwa kiongozi mkuu mpya Hezbollah Naim Qassem!

Sio lazima akamwatwe kwani Putin alipotolewa iyo Hati we unadhani kuna inchi itasubutu kumkamata Putin!!! Ipo ivi kutolewa iyo Hati. kunafanya utajo wako unaambatana na uharifu ww nimwarifu na unakesi ya jinai. Kwaiyo ni kama umemwagiwa kinyesi unanuka akuna atakaependa kuonana ww mana upinzani seem usika utakushutumu .ila Netanyahu anaweza kwenda ktk nchi zisizo na mkataba wa ICC, zipo nyingi USA CHINA RUSSIA NA Zengine chache.
Ndugu yangu usidanganyika. Hao wanaosema watamkamata Netanyahu, wanawazuga waafrika wenye akili ndogo.

Hiyo mahakama ya ICC toka kuanzishwa kwake iliwalenga watawala waafrika wanaowaua wananchi wao kwaajili ya tamaa za madaraka.

Netanyahu hatakamatwa na yeyote. Vita ikikoma utaanza kuyasikia hayo mataifa kuwa yamefuta hizo kauli. Si ajabu baadhi ya mataifa hayo yametoa hizo kauli baada ya kuwasiliana na Netanyahu.
 
Alhamdulillah wamewakosa pamoja na kusambaza jengo. Pale sio gaza ambapo mmezuia vitu kuingia Lebanon mtakimbia na chupi tu mtake msitake wajomba hawana haraka Iran kawachangishia hela na dhahabu wao kazi yao ni kipigo tu kwa zayuni
 
Ndugu yangu usidanganyika. Hao wanaosema watamkamata Netanyahu, wanawazuga waafrika wenye akili ndogo.

Hiyo mahakama ya ICC toka kuanzishwa kwake iliwalenga watawala waafrika wanaowaua wananchi wao kwaajili ya tamaa za madaraka.

Netanyahu hatakamatwa na yeyote. Vita ikikoma utaanza kuyasikia hayo mataifa kuwa yamefuta hizo kauli. Si ajabu baadhi ya mataifa hayo yametoa hizo kauli baada ya kuwasiliana na Netanyahu.
Wazungu wanafiki mno yaani haingii akilini Ukraine watete kwa nguvu zote kuliko Israhell hio haipo ni usanii tu unachezwa hapa. Huyu bibi atauawa na Hezbollah wenyewe. Au hamas hili halina mjadala n litatokea tu kuna siku atajichanganya kwenye mfumo wa watu
 
Hawa wa Israeli sasa wamepitiliza.

Jamani eh hao Hamas hawajaisha tu? Watoto na wanawake wajawazito mabibi na mabwana alfu hamsa washaangamizwa bado tu?

Mabilioni ya madola yeshakwenda, KUUA tu yaani ukichukua mabilioni yote waliyotumia na kuendelea kutumuia katika kipindi hichi kifupi utadhani wamefanya mazuri. Kumbe ni kuua tu🙌🏾

Kweli Benjamini ni wakukamatwa.

What is Happening is Genocide.
Ulivyo ms3ng hujui kuwa yote yamesababishwa na kung'ang'ania raia kuwafanya mateka , kwenye vita mwanajeshi ndo anawekwa mateka na sio Rai ila kwenu mnaona sw tu ila Israel akijibu mapigo , yeye ndo mbaya
 
Wazungu wanafiki mno yaani haingii akilini Ukraine watete kwa nguvu zote kuliko Israhell hio haipo ni usanii tu unachezwa hapa. Huyu bibi atauawa na Hezbollah wenyewe. Au hamas hili halina mjadala n litatokea tu kuna siku atajichanganya kwenye mfumo wa watu
Kwan vita waarab vs Bibi au Waarab vs Wayaudi ? Bado hamjui mnachotaka ndio maana matajiri wanatumiq dini yenu kuunda vikundi vya kihuni kuiba maliasili zenu sababu nyiny ni wajinga
 
Kwan vita waarab vs Bibi au Waarab vs Wayaudi ? Bado hamjui mnachotaka ndio maana matajiri wanatumiq dini yenu kuunda vikundi vya kihuni kuiba maliasili zenu sababu nyiny ni wajinga
Kwahio mimi sijui vita ni ya nani na nani? Unaona sawa watu kuibiwa ardhi na maliasili zao? Dini yetu haitachezewa hata siku moja watachezewa baadhi ya waarabu wanaopenda dunia na mali zaidi ya mwenyezi Mungu. Dini yenu ndio inayo chezewa kipengele cha kupumuliana kikeshapenyezwa subiri uje umuozeshe kijana wako au mjukuu kwa jemba la kiyahudi
 
Nimejiuliza Kuwauwa Viongozi wa Hamas na Hizbollah kunaifanya Israel iwe salama???? Kumeleta mateka wangapi?? Nentenyau ni mtu mpuuzi sana sijawahi kuona kumbe waweza kuwa na maslaha pesa but very stupid and useless!!!

Kama wana Intelligence nzuri kwanini hawajui mateka walipo??? Kwanini sasa kageuka anasema kila mtu atamlipia dola mil 5?? Si angeacha kuua watu alioua mwanzo kwa laana ili tu maongezi yafanyike mateka ambao wana ndg zao wanaomlilia waachiwe,m??? Jamaa mpuuzi sana...Sasa kama umepigana mwaka na hushindi wewe mjinga!!!
 
Wadau hamjamboni nyote?

Yasemekana Kiongozi Mkuu huyo aliyechaguliwa karibuni na shura ya maimamu kuongoza kikundi hicho cha Hezbollah alikuwa ndani ya jengo hilo pamoja na afisa mwandamizi Talal Hamiya

Watu 4 wameuawa na 23 wakijeruhiwa vibaya

Jengo hilo la ghorofa 8 limesambaratishwa kabisa na makombora ya ndege za IDF huku majengo Jirani nayo yakiharibiwa na kishindo kikubwa cha shambulizi hilo


Bado hazijathibitishwa kama Kiongozi huyo Mkuu wa magaidi ameuawa au amenusurika

Taarifa kamili kukujia

Jisomeeni wenyewe hapo chini kwa kimombo:


Live Update arrow right icon From the Liveblog of Saturday,
November 23, 2024
Reports: Massive Beirut strike targeted senior Hezbollah officer
Today, 6:39 am


Rumors are swirling on Hebrew news outlets and social media that the target of a massive Israeli strike in central Beirut this morning was either new Hezbollah leader Naim Qassem or senior Hezbollah officer Talal Hamiya.

Qassem was appointed to lead the Iran-backed terror group after his predecessor Hassan Nasrallah was assassinated in a massive Israeli airstrike on Hezbollah’s underground headquarters in southern Beirut.

Hamiya was appointed to lead the terror group’s operations division after Israel killed Ibrahim Aqil, the head of Hezbollah’s military operations in a Beirut strike on September 20.

Hezbollah’s al-Manar broadcaster reports that at least four people were killed and 23 wounded in the attack in Beirut’s Basta neighborhood, which apparently destroyed an eight-story building and damaged several others around it.

There is no immediate Israeli comment on the strike.
Lile jengo lilishuka kama dafu.
Halafu juzi nilikuwa namsoma mchunguzi fulani miongoni mwa walioena Lebanon kufuatilia huo mgogoro, alisema kwa sasa Hezibollah imesambaritika kwa kuwa haipo tena chini ya controll yoyote na kiongozi wao wa sasa hana sauti, kuweza ku control na hana muda mrefu atakuwa ameshauawa.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Yasemekana Kiongozi Mkuu huyo aliyechaguliwa karibuni na shura ya maimamu kuongoza kikundi hicho cha Hezbollah alikuwa ndani ya jengo hilo pamoja na afisa mwandamizi Talal Hamiya

Watu 4 wameuawa na 23 wakijeruhiwa vibaya

Jengo hilo la ghorofa 8 limesambaratishwa kabisa na makombora ya ndege za IDF huku majengo Jirani nayo yakiharibiwa na kishindo kikubwa cha shambulizi hilo


Bado hazijathibitishwa kama Kiongozi huyo Mkuu wa magaidi ameuawa au amenusurika

Taarifa kamili kukujia

Jisomeeni wenyewe hapo chini kwa kimombo:


Live Update arrow right icon From the Liveblog of Saturday,
November 23, 2024
Reports: Massive Beirut strike targeted senior Hezbollah officer
Today, 6:39 am


Rumors are swirling on Hebrew news outlets and social media that the target of a massive Israeli strike in central Beirut this morning was either new Hezbollah leader Naim Qassem or senior Hezbollah officer Talal Hamiya.

Qassem was appointed to lead the Iran-backed terror group after his predecessor Hassan Nasrallah was assassinated in a massive Israeli airstrike on Hezbollah’s underground headquarters in southern Beirut.

Hamiya was appointed to lead the terror group’s operations division after Israel killed Ibrahim Aqil, the head of Hezbollah’s military operations in a Beirut strike on September 20.

Hezbollah’s al-Manar broadcaster reports that at least four people were killed and 23 wounded in the attack in Beirut’s Basta neighborhood, which apparently destroyed an eight-story building and damaged several others around it.

There is no immediate Israeli comment on the strike.
Namwombea kifo kibaya sana Netanyahu na jeshi lake
 
Back
Top Bottom