kama upo logical labda tujiulize why are they attacking/resistingHapana, kuna tofauti kubwa. Utafanyaje na wachokozi wanaopenda mauaji kuliko uhai.
Pita huko; njia yako kulee!Maficho ya mateka wao awajui walipo vip wajue maficho ya Hamas awa wapuuzi wamedanganywa kuwa pale hospital ndio wamewekwa mateka wao kukuta akuna ata mmoja sasa wamegeukia plan B kufanya propaganda ijulikane kulikuwa na Hamas. Wameshaanza kuuwachia waliowachukua kwenye iyo hospital alafu mizwazwa mnawasifia Mossad ushizi wamekwama awakupata mateka yoyote kenge tu awa wakizungu
God bless IsraelWadau hamjamboni nyote?
Msako wa magaidi ya Hamas unaendelea huko Gaza
Hospital husika ilianza kutumika upya kuwa makao ya magaidi ya Hamas hivyo IDF baada ya kupata taarifa za kiinteligensia ikaamua kufanya operesheni ya kijeshi
Kumbe hata mkurugenzi wa hospital hiyo naye ni mtuhumiwa na tayari katiwa mbaroni
Mungu wabariki mayahudi wote duniani
The Israeli military says it has completed its operation against Hamas at northern Gaza’s Kamal Adwan Hospital and the surrounding area, during which some 240 suspected terror operatives were detained, including the medical center’s director and 15 terrorists who participated in the October 7, 2023, onslaught.
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
The IDF said it had intelligence of the hospital “returning to being used as a Hamas terror stronghold and a shelter for terrorists, despite repeated calls to refrain from allowing [terror operatives] to exploit hospitals for military activities.”
The operation was led by the IDF’s 162nd Division with several units.
At the start of the raid, the IDF says troops of the 401st Armored Brigade surrounded the hospital, detained several members of terror groups, and killed additional gunmen.
Members of the Navy’s Shayetet 13 commando unit then carried out “precise activities” inside the hospital, during which they located and captured weapons, including grenades, handguns, ammunition, and other military equipment, according to the IDF.
Acha roho mbaya aisee....Kila binadamu anastahili uhuruIsrael wanatakiwa kuichukua Palestina yote na wajenge concetration camps kwa ajili ya wapalestina. Wapalestina wapewe mahitaji muhimu tu na siyo mamlaka kamili ya kujitawala. IDF wawepo maeneo ya Lebanon na Syria ku maintain military buffer zone, Iran ihasiwe kijeshi. Hizo ndo njia pekee za kuhakikisha usalama wa Israel.
Siyo roho mbaya mkuu. Kama wanatumia uhuru wao kuua, kuteka, kubaka, na kuwagaidi wengine unataka waachwe tu?Acha roho mbaya aisee....Kila binadamu anastahili uhuru
Ayo maandiko yalisema waisrael watatoka ulaya au wapi tuanzie apo!!Kama hujui ukisoma.maandiko waisrael walikosea maelekezo kutoka kwamungu kuhusu kuwaangamiza maadui zao hivyo waanza kuwaonea huruma nakutowaangamiza hivyo.mungu aliwaraani nakuwaambia hapo mliowabakisha ninge' ambao watakuwa wanawauma mpaka mwisho wadunia.
Hitler alishambuliwa na nan ? mpk akaanza ua watu hovyo ? usifananishe matukio yasiyofananaHITLER style sio. hii dunia Muumba aingilie kati mwenyewe tu
Huu ni uongo mkubwa,kama mnaowaita magaidi wamekamatwa mbona idf hawafanikiwi kuwakamatavmateka?Wadau hamjamboni nyote?
Msako wa magaidi ya Hamas unaendelea huko Gaza
Hospital husika ilianza kutumika upya kuwa makao ya magaidi ya Hamas hivyo IDF baada ya kupata taarifa za kiinteligensia ikaamua kufanya operesheni ya kijeshi
Kumbe hata mkurugenzi wa hospital hiyo naye ni mtuhumiwa na tayari katiwa mbaroni
Mungu wabariki mayahudi wote duniani
The Israeli military says it has completed its operation against Hamas at northern Gaza’s Kamal Adwan Hospital and the surrounding area, during which some 240 suspected terror operatives were detained, including the medical center’s director and 15 terrorists who participated in the October 7, 2023, onslaught.
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
The IDF said it had intelligence of the hospital “returning to being used as a Hamas terror stronghold and a shelter for terrorists, despite repeated calls to refrain from allowing [terror operatives] to exploit hospitals for military activities.”
The operation was led by the IDF’s 162nd Division with several units.
At the start of the raid, the IDF says troops of the 401st Armored Brigade surrounded the hospital, detained several members of terror groups, and killed additional gunmen.
Members of the Navy’s Shayetet 13 commando unit then carried out “precise activities” inside the hospital, during which they located and captured weapons, including grenades, handguns, ammunition, and other military equipment, according to the IDF.
Yaani mtu aje apo kwenu awe baba alale chumbani Kwa mamaako,? Watoto mjengewe ka tent apo nje hamna kutoka bila ruhusa ya baba? Wew utakubali Hilo?Israel wanatakiwa kuichukua Palestina yote na wajenge concetration camps kwa ajili ya wapalestina. Wapalestina wapewe mahitaji muhimu tu na siyo mamlaka kamili ya kujitawala. IDF wawepo maeneo ya Lebanon na Syria ku maintain military buffer zone, Iran ihasiwe kijeshi. Hizo ndo njia pekee za kuhakikisha usalama wa Israel.
Jifunze Kiswahili kwanza. Awajui=hawajui; awa=hawa; akuna=hakuna; etc jifunze matumizi ya hMaficho ya mateka wao awajui walipo vip wajue maficho ya Hamas awa wapuuzi wamedanganywa kuwa pale hospital ndio wamewekwa mateka wao kukuta akuna ata mmoja sasa wamegeukia plan B kufanya propaganda ijulikane kulikuwa na Hamas. Wameshaanza kuuwachia waliowachukua kwenye iyo hospital alafu mizwazwa mnawasifia Mossad ushizi wamekwama awakupata mateka yoyote kenge tu awa wakizungu
Hivi mashabiki wa Hamas Mbona Kiswahili mgogoro! Neno ni hapoYaani mtu aje apo kwenu awe baba alale chumbani Kwa mamaako,? Watoto mjengewe ka tent apo nje hamna kutoka bila ruhusa ya baba? Wew utakubali Hilo?
We don't call it terrorism its called resistance and resistance will never end for the deaths of Hassan, many have died and will die. You will never rest in the accupied land, you will never have peace. Terrors ni mazayuni Dunia yote imeona kuchoma moto mtoto huo ndio ugaid wenyeweHakuna aliyewaza Nasrallah angekuwa eliminated the way he was eliminated! That event marked the beginning of the end of terrorists regime in middle east.
Sio mshabiki wa hamas mimi ni mshabiki wa haki na ukweli na aman Hata wewe ukija kubakwa au kulawitiwa nitasimama na wewe kutetea haki zakoHivi mashabiki wa Hamas Mbona Kiswahili mgogoro! Neno ni hapo
Kamwe hilo halikubaliki. Ndo maana napinga wapalestina kujitwalia nchi ya wayahudi na kusema ni nchi yao.Yaani mtu aje apo kwenu awe baba alale chumbani Kwa mamaako,? Watoto mjengewe ka tent apo nje hamna kutoka bila ruhusa ya baba? Wew utakubali Hilo?