IDF yavamia hospital ya Kamal Adwan Gaza, 240 wakamatwa akiwemo mkurugenzi pamoja na magaidi 15 wahusika shambulizi la 7/10/2023, silaha zakamatwa

IDF yavamia hospital ya Kamal Adwan Gaza, 240 wakamatwa akiwemo mkurugenzi pamoja na magaidi 15 wahusika shambulizi la 7/10/2023, silaha zakamatwa

Hapana, kuna tofauti kubwa. Utafanyaje na wachokozi wanaopenda mauaji kuliko uhai.
kama upo logical labda tujiulize why are they attacking/resisting
 
Maficho ya mateka wao awajui walipo vip wajue maficho ya Hamas awa wapuuzi wamedanganywa kuwa pale hospital ndio wamewekwa mateka wao kukuta akuna ata mmoja sasa wamegeukia plan B kufanya propaganda ijulikane kulikuwa na Hamas. Wameshaanza kuuwachia waliowachukua kwenye iyo hospital alafu mizwazwa mnawasifia Mossad ushizi wamekwama awakupata mateka yoyote kenge tu awa wakizungu
Pita huko; njia yako kulee!
 
Wadau hamjamboni nyote?

Msako wa magaidi ya Hamas unaendelea huko Gaza

Hospital husika ilianza kutumika upya kuwa makao ya magaidi ya Hamas hivyo IDF baada ya kupata taarifa za kiinteligensia ikaamua kufanya operesheni ya kijeshi

Kumbe hata mkurugenzi wa hospital hiyo naye ni mtuhumiwa na tayari katiwa mbaroni

Mungu wabariki mayahudi wote duniani

The Israeli military says it has completed its operation against Hamas at northern Gaza’s Kamal Adwan Hospital and the surrounding area, during which some 240 suspected terror operatives were detained, including the medical center’s director and 15 terrorists who participated in the October 7, 2023, onslaught.

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

The IDF said it had intelligence of the hospital “returning to being used as a Hamas terror stronghold and a shelter for terrorists, despite repeated calls to refrain from allowing [terror operatives] to exploit hospitals for military activities.”

The operation was led by the IDF’s 162nd Division with several units.

At the start of the raid, the IDF says troops of the 401st Armored Brigade surrounded the hospital, detained several members of terror groups, and killed additional gunmen.

Members of the Navy’s Shayetet 13 commando unit then carried out “precise activities” inside the hospital, during which they located and captured weapons, including grenades, handguns, ammunition, and other military equipment, according to the IDF.
God bless Israel
 
Israel wanatakiwa kuichukua Palestina yote na wajenge concetration camps kwa ajili ya wapalestina. Wapalestina wapewe mahitaji muhimu tu na siyo mamlaka kamili ya kujitawala. IDF wawepo maeneo ya Lebanon na Syria ku maintain military buffer zone, Iran ihasiwe kijeshi. Hizo ndo njia pekee za kuhakikisha usalama wa Israel.
Acha roho mbaya aisee....Kila binadamu anastahili uhuru
 
Kama hujui ukisoma.maandiko waisrael walikosea maelekezo kutoka kwamungu kuhusu kuwaangamiza maadui zao hivyo waanza kuwaonea huruma nakutowaangamiza hivyo.mungu aliwaraani nakuwaambia hapo mliowabakisha ninge' ambao watakuwa wanawauma mpaka mwisho wadunia.
 
Kungekuwa na Hamas pale tena wengi IDF ikafanyenini hospital zaid wangewashushia boom watafutane week nzima. Awa IDF wakitaka kufanya mishem yoyote wanakwenda na plan 2 moja kuokoa mateka ikiwa wamepata ata mmoja 2 wakikosa wanakuja plan B kulikuwa na HAMAS wengi waliweka kijiwe Chao pale hospital IDF mishen yoyote ikiwa yakufanana na hiii inakuwa ni kuusu Mateka sio Hamas lkn wanajiandaa kupambana na Hamas ktk uwokoaji wao. Sasa akukuwa na Mateka wala awakupata upinzani lkn imebidi wafate plan B ijulikane ni Hamas. Ndiomana mazoba wanawasifia eti wana high intel polen bule.
 
Kama hujui ukisoma.maandiko waisrael walikosea maelekezo kutoka kwamungu kuhusu kuwaangamiza maadui zao hivyo waanza kuwaonea huruma nakutowaangamiza hivyo.mungu aliwaraani nakuwaambia hapo mliowabakisha ninge' ambao watakuwa wanawauma mpaka mwisho wadunia.
Ayo maandiko yalisema waisrael watatoka ulaya au wapi tuanzie apo!!
 
Wabongo bwana, unaisifia intellejensia ya Israeli dhidi ya Hamas na Hizbollah au eneo la mashariki ya kati ambako maeneo mengi hakuna amani wala serikali hazifiki.

Unaisifia intelejensia dhidi ya vikundi vya kikaidi na nchi ambazo haziko stable na mataifa ambayo watu wanafananafanana Kwa maana ya race zao hazitofautiani sana.

Unaisifia intelejensia kwenye maeneo ambayo Kuna vikundi viiiingi hasimu ambavyo vinaweza kukupa taarifa za upande wa pili au hata kununua watu kama informer wako kifupi eneo ambalo unaweza ukacomprise utakavyo na watu wengi.

Pale Beirut kupata taarifa za Hizbollah ni nani kawaambia ni kazi ngumu ambayo inahitaji akili nyiiingi na utalamu wa hali ya juu, pale Beirut pamejaa majasusi wa Mossad ambao ni informers miaka nenda rudi, pale Beirut kuna mahasimu wengi wa Hizbollah miaka nenda rudi amabao unaweza kucompromise nao wakakupa taarifa.

Tunasema unaintelejensia nzuri pale unapofanya ujasusi dhidi ya mataifa yaliyo stable kama China, Russia, Germany, UK, USA, North Korea, Japan, nk.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Msako wa magaidi ya Hamas unaendelea huko Gaza

Hospital husika ilianza kutumika upya kuwa makao ya magaidi ya Hamas hivyo IDF baada ya kupata taarifa za kiinteligensia ikaamua kufanya operesheni ya kijeshi

Kumbe hata mkurugenzi wa hospital hiyo naye ni mtuhumiwa na tayari katiwa mbaroni

Mungu wabariki mayahudi wote duniani

The Israeli military says it has completed its operation against Hamas at northern Gaza’s Kamal Adwan Hospital and the surrounding area, during which some 240 suspected terror operatives were detained, including the medical center’s director and 15 terrorists who participated in the October 7, 2023, onslaught.

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

The IDF said it had intelligence of the hospital “returning to being used as a Hamas terror stronghold and a shelter for terrorists, despite repeated calls to refrain from allowing [terror operatives] to exploit hospitals for military activities.”

The operation was led by the IDF’s 162nd Division with several units.

At the start of the raid, the IDF says troops of the 401st Armored Brigade surrounded the hospital, detained several members of terror groups, and killed additional gunmen.

Members of the Navy’s Shayetet 13 commando unit then carried out “precise activities” inside the hospital, during which they located and captured weapons, including grenades, handguns, ammunition, and other military equipment, according to the IDF.
Huu ni uongo mkubwa,kama mnaowaita magaidi wamekamatwa mbona idf hawafanikiwi kuwakamatavmateka?
 
Hebrew media:






Hamas has targeted Israel's capital again after 500 days, and this is worrying.
 
Israel wanatakiwa kuichukua Palestina yote na wajenge concetration camps kwa ajili ya wapalestina. Wapalestina wapewe mahitaji muhimu tu na siyo mamlaka kamili ya kujitawala. IDF wawepo maeneo ya Lebanon na Syria ku maintain military buffer zone, Iran ihasiwe kijeshi. Hizo ndo njia pekee za kuhakikisha usalama wa Israel.
Yaani mtu aje apo kwenu awe baba alale chumbani Kwa mamaako,? Watoto mjengewe ka tent apo nje hamna kutoka bila ruhusa ya baba? Wew utakubali Hilo?
 
Maficho ya mateka wao awajui walipo vip wajue maficho ya Hamas awa wapuuzi wamedanganywa kuwa pale hospital ndio wamewekwa mateka wao kukuta akuna ata mmoja sasa wamegeukia plan B kufanya propaganda ijulikane kulikuwa na Hamas. Wameshaanza kuuwachia waliowachukua kwenye iyo hospital alafu mizwazwa mnawasifia Mossad ushizi wamekwama awakupata mateka yoyote kenge tu awa wakizungu
Jifunze Kiswahili kwanza. Awajui=hawajui; awa=hawa; akuna=hakuna; etc jifunze matumizi ya h
 
Yaani mtu aje apo kwenu awe baba alale chumbani Kwa mamaako,? Watoto mjengewe ka tent apo nje hamna kutoka bila ruhusa ya baba? Wew utakubali Hilo?
Hivi mashabiki wa Hamas Mbona Kiswahili mgogoro! Neno ni hapo
 
Hakuna aliyewaza Nasrallah angekuwa eliminated the way he was eliminated! That event marked the beginning of the end of terrorists regime in middle east.
We don't call it terrorism its called resistance and resistance will never end for the deaths of Hassan, many have died and will die. You will never rest in the accupied land, you will never have peace. Terrors ni mazayuni Dunia yote imeona kuchoma moto mtoto huo ndio ugaid wenyewe
 
Hivi mashabiki wa Hamas Mbona Kiswahili mgogoro! Neno ni hapo
Sio mshabiki wa hamas mimi ni mshabiki wa haki na ukweli na aman Hata wewe ukija kubakwa au kulawitiwa nitasimama na wewe kutetea haki zako
 
Yaani mtu aje apo kwenu awe baba alale chumbani Kwa mamaako,? Watoto mjengewe ka tent apo nje hamna kutoka bila ruhusa ya baba? Wew utakubali Hilo?
Kamwe hilo halikubaliki. Ndo maana napinga wapalestina kujitwalia nchi ya wayahudi na kusema ni nchi yao.
 
Back
Top Bottom