Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
-
- #21
Now fukuza petty traders in Gikomba n see what we will happen to ur people!KRA has lately imposed 25 per cent duty on such products, ostensibly on reciprocal response to similar treatment of palm and industrial sugar-based products from Nairobi by the Tanzania Revenue Authority.
Lets be realistic bro, ww ni mtu muungwana unaheshimika sana hapa jukwaani lakini huo moto mnaowasha utawaathiri sana nyie kuliko sisi.Trust me hao wtz walioko Kny wengi ni wafanyabishara wa sokoni na bidhaa zinakuja kwenu ni oranges za muheza, cabbages na nyanya za lushoto na ngombe za shnynga, lbda zaidi na mashudu ya kulisha ngombe mambo ambayo sio makubwa. Je nyie wangp mko Tz? na kazi nzuri nzuri hamuonei huruma watu wenu na jiulize investment zenu ngapi ziko Tz na pia bidhaa ngp zenu mnauza Tz msiwe blind kwa issues ndogo zikawatia ujinga. Nani asiejua Duale ana hasira sabb wasomali wenzake mpkn namanga wenye burueau na biashara za magendo wamebanwa bro?
WaKenya in Tzed are serious investors and professionals but the Tzedians in Kenya are omba omba types in the streetsKenyans think that Tz is that of 1990s. They had to bring everything from kenya. That is a very big mistake they are making. Why jaguar has to force tanzanians out of kenya in the first place. The language he used wasnt good. More kenyans are in tz than tzs in kenya.
Mkimaliza kufukuza watanzania,mtamwambia Duale arudi kwao SomaliaUkweli ni kwamba hizi chokochoko za Tanzania dhidi ya Kenya zikiendelea hivi, ni wazi hatutaishia pazuri, siungi mkono sera za kuwafurusha Watanzania walioko huku, pia sikubaliani na kauli za kugomea bidhaa kutoka Tanzania, lakini namkubali Duale kwa hili la kuhimiza Tanzania ijadiliwe bungeni, uhusiano wetu naa nyie umeharibika pakubwa, tunadanganyana kwa kukenua meno, lakini kiukweli nyuma ya pazia kuna mengi yanatokota.
Muda umefika hili lijadiliwe na kila kitu kiwekwe juu ya meza, ieleweke wapi tunakwenda. Hata kwenye ndoa, ipo wakati wana ndoa huamua kutibua ili liongelewe. Wabunge wetu waibue mada ya kujadili uhusiano wetu na Tanzania maana serikali yetu imegoma kutulinda dhidi ya udhalimu wenu.
Mkimaliza kufukuza watanzania,mtamwambia Duale arudi kwao Somalia
We don't order for people living with albinismAnd yet u ordered 1 mln tonnes from Tanzania!
Huo ndo unafiki ambao ilkuwa tunauongelea...kwn bidhaa zikitoka kw jirani yako kuna shida gani...ndo manake wazanzibar hawawataki piaKenyans think that Tz is that of 1990s. They had to bring everything from kenya. That is a very big mistake they are making. Why jaguar has to force tanzanians out of kenya in the first place. The language he used wasnt good. More kenyans are in tz than tzs in kenya.
Utamfukuza mtu ambae ako na work permit..naona mwaka huu wabunge watawabana boader km km mnavoyotubania...najua hamtoweza kuvumilia...yatatokea hayo uliyatoa kwenye hyo kauli yako...ushindi kw wakenyaNow fukuza petty traders in Gikomba n see what we will happen to ur people!
Iyo chuki yenu bakizeni huko huko, Ushawahi sikia mzenji au mbara akifukuzwa zenji enyewe zambi ya ukabila Haiwezi kukuacha salamaHuo ndo unafiki ambao ilkuwa tunauongelea...kwn bidhaa zikitoka kw jirani yako kuna shida gani...ndo manake wazanzibar hawawataki pia
Je ya binadamu mwenzako(albino)iwaachaje?[emoji26][emoji26][emoji26]Iyo chuki yenu bakizeni huko huko, Ushawahi sikia mzenji au mbara akifukuzwa zenji enyewe zambi ya ukabila Haiwezi kukuacha salama
Je ya binadamu mwenzako(albino)iwaachaje?[emoji26][emoji26][emoji26]
Subutu...Ukitubu, ila hiyo yenu haiwezekani kuisha
Wa zenji mnaona haya kuwafukuza...kisa muungano...chenye mnataka ni kuwakamua tu..[emoji1787][emoji1787]Je ya binadamu mwenzako(albino)iwaachaje?[emoji26][emoji26][emoji26]
Ukiona unajadiliwa na mijitu yenye roho mbaya kama mikenya,ujue umeishika pabayaDuale ni Mkenya kama walivyo Wakenya wenye asili ya Kisomali ambao ni takriban milioni moja, na hakuna Mtanzania anafukuzwa, ila imefika muda mjadiliwe.