mmmh binamu hivi kumbe urefu ndio uzuri?
Ila huyu mtoto mzuri jamani tuacheni utani
YES, lulu bado ni bint mdogo, umaarufu tu ndo umemkuza anaonekana mkubwa, bado mbichi sana ila sina uhakika uko chini kama patakuwa bado pabichi kama umri wake
YES, mwanamke akiwa mrefu kiasi bhas ata uzuri wake unaongezeka maradufu , tofauti akiwa mfupi sana hata uwe mzuri vip bado utachukiza na ndio maana mashindano ya umiss lazima waangalie kwanza kigezo cha urefu maana ndio una akisi vizur uzuri wa mwanamke
ahahaa nimerudi binamu, naona mashabiki zangu wamepungua, nina kazi nzito ya kuwarudisha kundini
binamu kweli wewe mrefu au unajiongeza? wanawake warefu dili mjini, wanawake wafupi wengi ni wakorofi
ahahaa nimerudi binamu, naona mashabiki zangu wamepungua, nina kazi nzito ya kuwarudisha kundini
lulu ni photogenic tu , hana uzuri huo kma anavyoonekana kwenye picha, ni kafupi kama skuna za miaka 47, camera za i phone 6 na galaxy s5 zinafanya kazi
Ila huyu mtoto mzuri jamani tuacheni utani
Macho yanatofautiana.....mimi nikiambiwa nitaje bongo movie wazuri (ninaowafahamu) nitaanza na Lulu....na mimi ku-assess uzuri wa mtu huwa situmii vigezo vya Lundenga
ahahah upo juu high heels waachie viwet akina lulu weny miguu kama ufito wa genge
Binamu lulu kaumbika???!!!au mi sielewi maana ya kuumbika?ki sura kwa kweli ni mzuri , lulu kaumbika , ila make ups na camera nzuri zinamfanya awe mrembo zaidi , pia kanajua sana kuvaa kale katoto, ila ukikaona live hayupo hvyo ni kafupi sana na sio mweupe hvyo
Unapotea tu afu huagi hatujui unatafuta ubuyu au uko polisi mxyuuuView attachment 212483ahahaa nimerudi binamu, naona mashabiki zangu wamepungua, nina kazi nzito ya kuwarudisha kundini
Unapotea tu afu huagi hatujui unatafuta ubuyu au uko polisi mxyuuuView attachment 212483