Dunia yakoo
Senior Member
- Nov 23, 2019
- 139
- 214
IDRIS AMPA 'ONYO' BILLNAS
Mchekeshaji na Muigizaji Idris Sultan amesema rapa Billanass amuombe sana Mungu yasimkute matatizo kama ambavyo yalimkuta yeye ya kuitwa Kituo cha Polisi maana atapata tabu sana.
Idris Sultan amefunguka hayo mara baada ya Billnass kumletea utani Baada ya kuwekwa ndani kwa siku kadhaa kwa kosa la kutumia Kompyuta kwa kuichapisha picha yake na Rais Magufuli. Billnas aliandika "Nipeni Taarifa za Ndugu Yangu, kalala kituo gani ?? Au Kalala na Nani??" huku akiambatanisha na Picha ya Idris
"Watu walihitaji kufurahi na wanahaki ya kufurahi, naamini hata Billnass hana nia mbaya na mimi sidhani kama amefurahia kweli ila anajua haya mambo yanatokea na yatakwisha, vyote kwa vyote ni utani tu na mtu yeyote anaweza akafanyiwa na hata nikishikiliwa tena sitegemei watu walie au wahuzunike" amesema Idris Sultan
Mchekeshaji na Muigizaji Idris Sultan amesema rapa Billanass amuombe sana Mungu yasimkute matatizo kama ambavyo yalimkuta yeye ya kuitwa Kituo cha Polisi maana atapata tabu sana.
Idris Sultan amefunguka hayo mara baada ya Billnass kumletea utani Baada ya kuwekwa ndani kwa siku kadhaa kwa kosa la kutumia Kompyuta kwa kuichapisha picha yake na Rais Magufuli. Billnas aliandika "Nipeni Taarifa za Ndugu Yangu, kalala kituo gani ?? Au Kalala na Nani??" huku akiambatanisha na Picha ya Idris
"Watu walihitaji kufurahi na wanahaki ya kufurahi, naamini hata Billnass hana nia mbaya na mimi sidhani kama amefurahia kweli ila anajua haya mambo yanatokea na yatakwisha, vyote kwa vyote ni utani tu na mtu yeyote anaweza akafanyiwa na hata nikishikiliwa tena sitegemei watu walie au wahuzunike" amesema Idris Sultan