He deserves this, he is presentable, na yai analitema. Wema atarudi kuomba yaishe.Na kwavile amepewa sehemu kubwa, I bet jamaa atafanya vizuri sana na huenda ndo akatoka jumla!!! Na kukiwa na some comeds ndani yake, hesabu wameumia!!
Anywe maji kwanzaRay wa Afya drinking water je? Au yeye nyota yake ni ya hapahapa tu
Tatizo ni yai mkuuRay wa Afya drinking water je? Au yeye nyota yake ni ya hapahapa tu
True, lets wish him a best luck.Na kwavile amepewa sehemu kubwa, I bet jamaa atafanya vizuri sana na huenda ndo akatoka jumla!!! Na kukiwa na some comeds ndani yake, hesabu wameumia!!
Yai lipi hilo mkuu?Tatizo ni yai mkuu
Atabwabwaja tu kama diamond mpaka ajue, mshauri athubutu tu asiishie kwenye afya drinking waterTatizo ni yai mkuu
Ki- malkiaYai lipi hilo mkuu?
Amen!True, lets wish him a best luck.
Umeona eh! Tena yai lake lipo above ya yai linalohitajika kwenye acting... he got no strong accent at all.He deserves this, he is presentable, na yai analitema. Wema atarudi kuomba yaishe.
Kabisa mkuuUmeona eh! Tena yai lake lipo above ya yai linalohitajika kwenye acting... he got no strong accent at all.
Alikuwa ana safiria nyota ya kanumba huyo.
Hehe, right! Hii ni factor muhimu sana iliyomfanya aingie muleKi- malkia
Anaweza kijana, mie namvulia kofia alivyoweza kuishi na yule mnegeria mkorofi kwenye big brother. Kijana ana nyota ya kupendwa na zaidi ht yeye anajua kupenda wenzie ndio maana maisha kwake yanakuwa rahisi.Na kwavile amepewa sehemu kubwa, I bet jamaa atafanya vizuri sana na huenda ndo akatoka jumla!!! Na kukiwa na some comeds ndani yake, hesabu wameumia!!