Idris Sultan athibitisha kuwa Wema Sepetu ana mimba yake

Idris Sultan athibitisha kuwa Wema Sepetu ana mimba yake

Hahaha sio kazi at all, basi tu mnachukuliaga poa
Maisha yakibamba hayo mapambio tunasahau sista, tunabaki kuwaza bills tupu, uanaume ni stress ujue. Hapa nilipo nawaza ada za watoto, kodi ya nyumba mwezi ndo unaishia hivyo, umeme, maji, sijui maziwa ya mtoto, mshahara wa housegirl bado school bus nadaiwa, ndg nao bado wanakuangalia wewe, hilo wazo la kukaa nicompose jumbe kama za kina Idriss litakuja kweli sista? haya tuseme nimejitahidi nimeweza kucompose, nimemrushia mamsapu, je atafurahi kweli wakati hela yake ya saluni tu sijui mchongo wa bestito wa harusi unapotezea potezea, aaah no way!!

Hao kina idriss wenzetu wanatafuta followers watengeneze mshiko, so wako kazini hapo. Ndo maana kila siku wanawarushia tukio, mara wako kitandani, mara sijui wanapigana busu, mara wameshikana sijui wapi, lakini hiyo yote ni kumaintain followers na kuattract new ones. Hakuna penzi hapo wala ndg yake kupenda, they are at work
 
Maisha yakibamba hayo mapambio tunasahau sista, tunabaki kuwaza bills tupu, uanaume ni stress ujue. Hapa nilipo nawaza ada za watoto, kodi ya nyumba mwezi ndo unaishia hivyo, umeme, maji, sijui maziwa ya mtoto, mshahara wa housegirl bado school bus nadaiwa, ndg nao bado wanakuangalia wewe, hilo wazo la kukaa nicompose jumbe kama za kina Idriss litakuja kweli sista? haya tuseme nimejitahidi nimeweza kucompose, nimemrushia mamsapu, je atafurahi kweli wakati hela yake ya saluni tu sijui mchongo wa bestito wa harusi unapotezea potezea, aaah no way!!

Hao kina idriss wenzetu wanatafuta followers watengeneze mshiko, so wako kazini hapo. Ndo maana kila siku wanawarushia tukio, mara wako kitandani, mara sijui wanapigana busu, mara wameshikana sijui wapi, lakini hiyo yote ni kumaintain followers na kuattract new ones. Hakuna penzi hapo wala ndg yake kupenda, they are at work
Me Naelewa jinsi ilivyo ngumu ujue, ila basi tu. Ngoja niku-pm kuna kitu utakielewa
 
Binadamu bana.....
Wakati hana mimba mlirukaruka humu kama bisi kusema ni mgumba anatafuta kiki

Sasa ana mimba mnajifanya kuhesabu kujua baba wa mtoto utashani mlijifungia nae chumbani wakati wakiwa wanafanyana.....
 
1453925648152.jpg
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji10] [emoji10] [emoji10] [emoji10] hongera zao....
 
Uchambuzi wako ni fake kama una video au audio ya Diamond na Zari wakiwa wanafanya mapenzi kwa Mara yao ya kwanza iweke hapa ili kuipa nguvu comnent yako na tupige hesabu!!
Hahahah video tena....... Nimechekaje hahahaha
 
Hamna mimba hapo..mimba gn inakua km kajazwa upepo...mimba ya mwezi mmoja..miwili au mitatu inaonekana tatizo wema is tooo fake...subirin kuambiwa imetoka...na mlo namimba kaen chonjo msije ibiwa wanenu labour
Binadamu binadamu

Kweli ina maana mwenzenu ataiba mtoto?

Hivi walitangaza ina miezi mingapi???
 
Ajifungue salama....kuwa mama raha sana..... Mengine ya baba hayanihusu........
 
Alafu kama idrisa ndio kamdunya iyo mimba baba mtoto ana miaka 21 [emoji1] [emoji1] [emoji1] najaribu kufikiri walivyokuwa wanasema diamond mdogo kwa Wema sasa huyu idrisa cjui ndio atakuwa mtoto wa wema[emoji15]
Na Zarin ni mkubwa Sn kwa ndomo
 
Labda hajahesabu vizuri miezi ya hiyo mimba vizuri ni kama miezi minne au zaidi kama mtoto kasukuma nyuma, ila sio ya mwezi mmoja kwa mtu ambaye nadhani alikuwa hana tumbo...mwezi mmoja basi anakitu tumboni kinapuliza tumbo livimbe.

Wengine wanaopataga tumbo kuwa kubwa waliobeba mimba kabla, mwezi mmoja halionyeshi bado kutuna hivyo hata miwili.

Naongelea kwa niyajuayo mie...
Hio miezi mitatu sawa ila sio mwezi mmoja...
 
alafu tutaangalia nani atakua mtoto mzur wa zari au wa wema! mshikaj lile domo kaharibu yule binti bwah bwah bwah
 
Back
Top Bottom