Idris Sultan awa mtangazaji Choice FM

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Mshindi wa big brother Idris Sultan amesajiliwa rasmi kuwa mtangazaji wa kituo cha Choice Fm.
Hiyo ni ajira mpya kwa kijana huwa atakuwa anatangaza kipindi cha hard drive kinachoruka saa 12 asubuhi hadi saa 3 asubuhi.
Kila la kheri kijana japo hatujui ulisomea wapi utangazaji
 
hongera zake asije kuwa kama Mwisho mwampamba kaishiwa mpaka anagombana na nduguze muda mfupi baada ya kuondokewa na baba yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…