Ha ha ha utadhani walikuwepo kwa Dr wakati ma kijacho anapewa majibu
Niliona picha za zenj nu yr, meza imejaa mipombe mikali tu, na soda zakupozea hiyo mipombe, mi nadhani Ana mimba ya insta sio real lifeHa ha ha utadhani walikuwepo kwa Dr wakati ma kijacho anapewa majibu
Amini, Usiamini, Wema sasa mjamzito.Bila shaka ni story tu ya kuzima ile story ya kutimuliwa kwenye nyumba ntaamini siku nikiona ana bonge la tumbo, sijui ntaaminije make photoshop nazo kiboko
Amini, Usiamini, Wema sasa mjamzito.
Mtajimurder!!!
Is it for real?warumi kajinyonge
Wema mjamzito
Ha ha ha labda alikua hajacomfirm kama ana mimbaNiliona picha za zenj nu yr, meza imejaa mipombe mikali tu, na soda zakupozea hiyo mipombe, mi nadhani Ana mimba ya insta sio real life
"mimba my foot" in wema's voice ha ha haAmini, Usiamini, Wema sasa mjamzito.
Mtajimurder!!!
Ulitoa hongera kwa kujinunulia range?! Hahahahahah"mimba my foot" in wema's voice ha ha ha
Siku nikiona tumbo nitampa hongera, nilitoa hongera kwenye ile nyumba alosema kanunua m400, nikatoa hongera kwenye ile picha kavaa shela akasema kaolewa.....this time nasubiri kwanza
Hiyo range nayo nliona nitulie tulie ha ha ha hadi sasa sijatoa hongera ntaunganisha hongera ya range na mimbaUlitoa hongera kwa kujinunulia range?! Hahahahahah
we unafanya nini humu kama uko na kazi mingiWatanzania wengi hawana Kazi maalum, watu wanaishia kukaa Instagram/mitandaoni 24/7.
Si kwa Wema au?Kiboko ya wagumba? Kiajeee?
Za kwako mtoto mzuri?
mimba haswaaaaa sidhani aseeSi kammimba wema, wanaume kadhaa wanemshindwa ila Idris kaweza ha ha ha eti kiboko ya wagumba (japo siamini hii story)
Hata mie sidhanimimba haswaaaaa sidhani asee
hahahahahaaaa,mkuu hiyo mimba subiri tuje tuambiwe ni miscarriage,kutokana na maneno ya karaha ya wana IG!tutaambiwa midomo ya binadamu ni mibaya mno wameitia nuksi mimba ya madame mpka imeharibika.Evelyn Salt
Asee hii mimba ilikuja alivyoambiwa zaa wako mzuri Kama unaweza!! Basi wee kesho yake asubuhi namapema mchakato Wa kuzaa ukaanza, Mara hongera mama kijacho, na mtoto juu wakakodi eti kupractice!!!!!