sio kwamba nina chuki nae hapana...ila jamaa huwa namuona kama kituko hajawai kufikia ata robo ya huo ucomedian.....tanzania comedian wa ukweli sema hajiweki vizuri ni mpoki pekee......uyu jamaa anaonekana kbs analazimisha fani.....hamna kitu....mtazame Erick wa kenya ndio utaelewa macomediana