Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diamond kiboko, akisema beba mimba uzae wako kesho mimba inabebwa ha ha ha ha ha ni zaidi ya muujiza wa roho mtakatifuEvelyn Salt
Asee hii mimba ilikuja alivyoambiwa zaa wako mzuri Kama unaweza!! Basi wee kesho yake asubuhi namapema mchakato Wa kuzaa ukaanza, Mara hongera mama kijacho, na mtoto juu wakakodi eti kupractice!!!!!
Nadhan pia ni msemaj wake,kwani Tanesco walipovamia jamaa ndo aliongea naoSi kammimba wema, wanaume kadhaa wanemshindwa ila Idris kaweza ha ha ha eti kiboko ya wagumba (japo siamini hii story)
Chezea mtoto sepetu kodi ya nyumba milion 200, nini usd 300,000Hivi Mzigo wake wa USD 300,000 umekata mpaka aanze comedy?
View attachment 317604
Ha ha ha father houseNadhan pia ni msemaj wake,kwani Tanesco walipovamia jamaa ndo aliongea nao
WHAT THE PHUCK!!!!! HIVI MNAIFAHAMU COMEDY VIZURI AU MNA ISHIA KUANGALIA MTU ANA JIFANYISHA UJINGA MNASEMA COMEDY... NI MARA 100 NIKA ENDA KWENYE PAGE YA @stanbakora au mpoki joti Masanja @bulazaK Kiwewe mtanga @kelvinHart @ericomondi walau kidogo ntacheka kuliko ya huyu shemeji yenu.... I don't see any comedy but foolish stuffs......Habari wakuu,
Mi mgeni humu naomba nizungumze kitu.....
First naomba niweke wazi kuwa huyu jamaa hajawahi kunichekesha hata siku moja. Nilitabasamu kiduuuuuchu ile clip ya remy ongala aliyoikata na kujiweka kashika kisu. Pale kidogo nilitabasam kwa mbaaaaali. Lakini ukweli ni kuwa I dont find this guy funny at all.....
WHY IS HE THE BEST COMEDIAN
Nimempa cheo hiki coz kwa sasa hakuna page katika insta ambayo kwenye comments watu wanacheka sana kama page yake. Humo utaona hadi watu wanalalamika kuumizwa mbavu (Mi huwa nashangaa sana) . . . So kutokana na hili, sina budi isipokuwa kukiri kuwa Idris Sultan is currently the best comedian in instagram.....
Mekupenda bureeeeeAmini, Usiamini, Wema sasa mjamzito.
Mtajimurder!!!
Hapana braza k ni shida aisee kwa Tanzania
Well saidWHAT THE PHUCK!!!!! HIVI MNAIFAHAMU COMEDY VIZURI AU MNA ISHIA KUANGALIA MTU ANA JIFANYISHA UJINGA MNASEMA COMEDY... NI MARA 100 NIKA ENDA KWENYE PAGE YA @stanbakora au mpoki joti Masanja @bulazaK Kiwewe mtanga @kelvinHart @ericomondi walau kidogo ntacheka kuliko ya huyu shemeji yenu.... I don't see any comedy but foolish stuffs......
Tupe mfano wa kitu alichowahi kukuchekesha.. na sie labda twaweza cheka japoHonestly say mimi huwa ananichekesha.