Idris Sultan: Best comedian kwa sasa

Idris Sultan: Best comedian kwa sasa

Kupost memes Instagram ndo kawa comedian?
 
Evelyn Salt
Asee hii mimba ilikuja alivyoambiwa zaa wako mzuri Kama unaweza!! Basi wee kesho yake asubuhi namapema mchakato Wa kuzaa ukaanza, Mara hongera mama kijacho, na mtoto juu wakakodi eti kupractice!!!!!
Diamond kiboko, akisema beba mimba uzae wako kesho mimba inabebwa ha ha ha ha ha ni zaidi ya muujiza wa roho mtakatifu
 
Honestly say mimi huwa ananichekesha.
 
Hivi Mzigo wake wa USD 300,000 umekata mpaka aanze comedy?
Idrissa.jpg
 
Hapana braza k ni shida aisee kwa Tanzania
 
Habari wakuu,

Mi mgeni humu naomba nizungumze kitu.....

First naomba niweke wazi kuwa huyu jamaa hajawahi kunichekesha hata siku moja. Nilitabasamu kiduuuuuchu ile clip ya remy ongala aliyoikata na kujiweka kashika kisu. Pale kidogo nilitabasam kwa mbaaaaali. Lakini ukweli ni kuwa I dont find this guy funny at all.....

WHY IS HE THE BEST COMEDIAN
Nimempa cheo hiki coz kwa sasa hakuna page katika insta ambayo kwenye comments watu wanacheka sana kama page yake. Humo utaona hadi watu wanalalamika kuumizwa mbavu (Mi huwa nashangaa sana) . . . So kutokana na hili, sina budi isipokuwa kukiri kuwa Idris Sultan is currently the best comedian in instagram.....
WHAT THE PHUCK!!!!! HIVI MNAIFAHAMU COMEDY VIZURI AU MNA ISHIA KUANGALIA MTU ANA JIFANYISHA UJINGA MNASEMA COMEDY... NI MARA 100 NIKA ENDA KWENYE PAGE YA @stanbakora au mpoki joti Masanja @bulazaK Kiwewe mtanga @kelvinHart @ericomondi walau kidogo ntacheka kuliko ya huyu shemeji yenu.... I don't see any comedy but foolish stuffs......
 
Hapana braza k ni shida aisee kwa Tanzania


Hata mfalme Majuto alipoulizwa alisema brother K ndo mrithi wake jamaa anamtishia hata yeye alipofanya naye movie , yaani brother K ukimwona tu na shati lake unaanza kucheka , nini Idriss sura ndefu kama hipsi la wema
 
WHAT THE PHUCK!!!!! HIVI MNAIFAHAMU COMEDY VIZURI AU MNA ISHIA KUANGALIA MTU ANA JIFANYISHA UJINGA MNASEMA COMEDY... NI MARA 100 NIKA ENDA KWENYE PAGE YA @stanbakora au mpoki joti Masanja @bulazaK Kiwewe mtanga @kelvinHart @ericomondi walau kidogo ntacheka kuliko ya huyu shemeji yenu.... I don't see any comedy but foolish stuffs......
Well said
 
Back
Top Bottom