Idris Sultan: Best comedian kwa sasa

Idris Sultan: Best comedian kwa sasa

Kwa hiyo hata ukimwona barabarani itakuwa ni photoshopo...!! Hii sasa kiboko japo haiishi majini
Hana mimba na wakina mama wameambiwa kuchunga watoto wachanga majumbani na hospitali ogopa mtu anaejisingizia mimba
 
Mi nasubiria kuona jinsi gani atavyo iyeyusha hiyo mimba hewa.
Kina mama wawe makini na watoto wachanga majumbani na hospitali, ogopa mtu anaejisingizia mimba ha ha ha..... Labda atadanganya kapata miscarriage
 
Kina mama wawe mmakini na watoto wachanga majumbani na hospitali, ogopa mtu anaejisingizia mimba ha ha ha..... Labda atadanganya kapata miscarriage

ni kweli cz anaweza hata akajieka tumbo la bandia then miez tisa ikifka mtasiikia kajifungua kumbe ktoto kimenunuliwa kama sio kuibwa!
Kwa uchungu alonao wa dai kuzaa na zari angeshatupia ultrasound na tumbo insta..na mimba ingevuma kama ya kim kardashian! tungekosa usingizi...HANA MIMBAAAA
 
Habari wakuu,

Mi mgeni humu naomba nizungumze kitu.....

First naomba niweke wazi kuwa huyu jamaa hajawahi kunichekesha hata siku moja. Nilitabasamu kiduuuuuchu ile clip ya remy ongala aliyoikata na kujiweka kashika kisu. Pale kidogo nilitabasam kwa mbaaaaali. Lakini ukweli ni kuwa I dont find this guy funny at all.....

WHY IS HE THE BEST COMEDIAN
Nimempa cheo hiki coz kwa sasa hakuna page katika insta ambayo kwenye comments watu wanacheka sana kama page yake. Humo utaona hadi watu wanalalamika kuumizwa mbavu (Mi huwa nashangaa sana) . . . So kutokana na hili, sina budi isipokuwa kukiri kuwa Idris Sultan is currently the best comedian in instagram.....
Bado uone kuna watu wanamponda alaf Sikh akifa utashangaa et R.I.p legend hakuna kama idriss
 
Back
Top Bottom