Idris Sultan hujakoma tu Kijana?

Idris Sultan hujakoma tu Kijana?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nikichukua fomu Kigamboni wala hata msiandae kura, andaeni masongi ya mazishi na rambirambi za kutosha.

Idris Sultan

Umemchokonoa Baba yake Kipenzi na akakutia 'Kimuhemuhe' hadi ukawa unatia Huruma kwenda kuishi jela sasa umehamia kwa Mtoto Kipenzi.
 
mambo ya kipuuzi sana kwenye nchi hii, maana utani na kusemana hasa kwnye siasa ni jambo la kawaida sanaaa
 
Mwana kuli "find"...........!



Let's meet at the top, cheers 🥂
 
Nikichukua fomu Kigamboni wala hata msiandae kura, andaeni masongi ya mazishi na rambirambi za kutosha.

Idris Sultan

Umemchokonoa Baba yake Kipenzi na akakutia 'Kimuhemuhe' hadi ukawa unatia Huruma kwenda kuishi jela sasa umehamia kwa Mtoto Kipenzi.
Kwani mzukuku anasemaje ?
 
Sasa huyu si comedian, wamuache afanye kazi yake, aaaaaah
 
Yaani watu walioshinda bingo kisha watapakanya fedha kizembe huwa nikiwaona nakereka sana!! Yaani Utopolo wa kupoteza pesa kizembe amesababisha vijana wengi kokosa ajira kupitia yeye ,yaani mil 500 yote kaitakapakanya kabakia kupata hela ya views na matangazo ya buku 10 insta.
 
Back
Top Bottom