Idris Sultan hujakoma tu Kijana?

Idris Sultan hujakoma tu Kijana?

Kwani amesema atashambuliwa na mtu au amemtaja mtu Jina? Maana waliochukua fomu ni wengi.
Msimtishe.
 
Ila nadhani atakuwa amejenga na ana magari,ila kwa hela aliyopata mambo media yasingekuwa na haja angejikita kwenye miradi tu
Yaani watu walioshinda bingo kisha watapakanya fedha kizembe huwa nikiwaona nakereka sana!! Yaani Utopolo wa kupoteza pesa kizembe amesababisha vijana wengi kokosa ajira kupitia yeye ,yaani mil 500 yote kaitakapakanya kabakia kupata hela ya views na matangazo ya buku 10 insta.
 
Ila nadhani atakuwa amejenga na ana magari,ila kwa hela aliyopata mambo media yasingekuwa na haja angejikita kwenye miradi tu
Kabisa Mkuu angekuwa na projects kubwa ya kuajiri vijana kibao sasa na sio hizo buku 10 10 za matangazo insta na vichekesho vya kulazimisha youtube aongeze views!!
 
Back
Top Bottom