Idris Sultan: Madereva wote wa Serikali wavae Samia Suit. Mnavaa suti za Kaunda wakati hamumjui, Samia mnamjua

Idris Sultan: Madereva wote wa Serikali wavae Samia Suit. Mnavaa suti za Kaunda wakati hamumjui, Samia mnamjua

Mimi nadhani wa kulaumiwa sio hao vijana wanaojitoa ufahamu bali ni huyo anae elekezewa sifa, kama ingekuwa hapendi kusingekuwa na kitu kana hicho.
 
Kwa hii kauli, imefanya nikawanunulie watoto wangu majembe ili tujikite kwenye kazi za Kilimo tu huku shambani

Maana ni aibu kufanya uchawa wa kiwango hiki.

Yaani Mwanaume kabisa una Washauri Wanaume wenzio kuanza kuvaa nguo za kike🙌
Na ushoga wanapitiamo humohumo hawa kenge
 
Na ushoga wanapitiamo humohumo hawa kenge
Mtu unajiuliza mara mbili mbili, hivi inawezekanaje Mwanaume timamu ukavaa nguo za kike na ukaona kawaida?

Mwisho wa Siku watasema jina la Samia japo ni la kike wapewe hata watoto wao wakiume

Ni aibu 🙌
 
Mtu unajiuliza mara mbili mbili, hivi inawezekanaje Mwanaume timamu ukavaa nguo za kike na ukaona kawaida?
Labda ni vazi unisex mkuu, Idriss Sultan angeanza kwanza kulivaa yeye tuone linamkaaje.
 
Hiyo suit anayotaka haina mvuto hata kidogo .bora Kaunda suit na siyo huo uchafu wao.kwanza mwanaume utaanzaje kuvaa Hilo bwanga?
 
Labda ni vazi unisex mkuu, Idriss Sultan angeanza kwanza kulivaa yeye tuone linamkaaje.
Hakuna cha unisex wala nini, hao Vijana Kuna agenda wanazi-push

Imagine unapigia promo nguo za kike Kwa Wanaume wenzako hadi mishipa inakutoka vile kama sio huo ufirauni wao nini tena
 
Samia
Wakuu,

Naona safari ya Korea imetiki! Tunazidi kukuza vijana waliojaa funza na kamasi kichwani!

===


Mwigizaji wa filamu nchini Idris Sultan ambaye pia ni Jaji katika Onyesho la Samia Fashion Festival Idris Sultan amesema kuwa watu wanazungumzia kuhusu 'Kaunda Suit' ila Watanzania hawamjui, hivyo ni wakati sasa wa kuvaa 'Samia Suit' ili kutambua mchango wa Rais.

Idriss ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na Wanahabari Jijini Dar es Salaam kulekea tamasha la Samia Fashion Festival ambalo linatarajiwa kufanyika Novemba 30 mwaka huu Visiwani Zanzibar ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wa Rais Samia.

So far waliofanya challenge hii ni wanawake (kwasababu Rais Samia ni mwanamke nadhani), baadhi hao hapo chini.

Sijaona picha hata moja wakiwa wamepiga kura uchaguzi wa serikali za mitaa, ile kwenye uchawa wao mstari wa kwanza na makwome yao 🤦‍♂️ 🤦‍♂️ 🤦‍♂️

View attachment 3164494Samia suti ndio ipi, wanaune jee​
 
Back
Top Bottom