strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,921
- 3,308
hahahaha mdau umemaliza kila kitu duuuuu wapambe itabidi wasimame tu aise hakuna jinsi tena
mr End Mwacotton nae kweli nasikia hana hata shing kumi,wataisomaHahahaaaa...bila shaka unamzungumzia "Mr. End Mwamcoton"
Vipi ile biashara yake ya kuuza matikiti kwenye toroli nayo ilimshinda??
No no no let us not rush him, kile Alosco Kwa Gharib Said Mohamed Leo wanaitwa GSM kukwepa Koffi uliacha Ngasi au Gari walikupa la bure bure tu? Fala makubwa we eti maisha yanaendelea. Ukiwa studio Za fm radio? You were much much much bigger that all that Bulshit, mama MiaIPO shilingi ngapi?
Pamabavu tu huyu, anashindwaje kujimanage mwenyewe mpaka awe na management ya kum manage yeye?Management mpya ya kumuongoza!kwenye sanaa au kwenye nini?bado sijapaelewa hapo
Yaani hapo umenena zitakuwa zimemalizwa na starehe tu hakuna linginevijana, hawa wakaombewe wana mapepo. Hivi unaweza ukapata Ml 500 ukaishia kufulia?
Pombe,wanawake na starehe, kujidai wewe ni star ndicho kinacho wagharimu hawa vijana wa bongo movie.
Kalimeni, fungueni mabiashara, wacheni starehe, hiyo pesa ukimpa mtu, mwenye vitu kichwani anakuwa bilionea mkubwa sana.
Clement anachoma mishkakiWanawake wengine mikosi mitupu.
Mkuu @Quartepin seriously unasema mill500 kibongo bongo ni hela ndogo???utakuwa unatania...kijana umri wa huyu bwege kwa pesa ile alitakiwa kutuliza akili hata kama hana idea ya biashara angewekeza kwenye majumba angalao mill350 hiyo 150mill akajitangaza umaarufu mjini.kipindi anapata hiyo pesa kwa mji kama Dar mfano maeneo ya Magomeni nyumba zilikuwa zinafika 120/140mill na ziko center nzuri kama angewekeza japo akapata nyumba zake mbili saizi angeziuza 300 kila moja angekuwa wapi?kaishia kuwaandalia malaya birthday party hakuna lolote alilofanya!kiazi mkubwa.Hiyo hela sio nyingi sana kama watu wanavyotaka tuamini, usipokuwa guided wapi ufanye investment, itaisha bila kujua. Hasa hasa unapokuwa maarufu.
Ndio tunaambiwa vioo vyetu hivyo vya jamii.Pamabavu tu huyu, anashindwaje kujimanage mwenyewe mpaka awe na management ya kum manage yeye?
Duh!Mr end mwacotton=mr mwisho mwampambamr End Mwacotton nae kweli nasikia hana hata shing kumi,wataisoma
Dada kawasaki alinikanyaHuyo mtoto mwehu kabisa. Kaenda kuanzisha uhusiano na mlanguzi wa mapenzi altarajia nini?
Mkuu @Quartepin seriously unasema mill500 kibongo bongo ni hela ndogo???utakuwa unatania...kijana umri wa huyu bwege kwa pesa ile alitakiwa kutuliza akili hata kama hana idea ya biashara angewekeza kwenye majumba angalao mill350 hiyo 150mill akajitangaza umaarufu mjini.kipindi anapata hiyo pesa kwa mji kama Dar mfano maeneo ya Magomeni nyumba zilikuwa zinafika 120/140mill na ziko center nzuri kama angewekeza japo akapata nyumba zake mbili saizi angeziuza 300 kila moja angekuwa wapi?kaishia kuwaandalia malaya birthday party hakuna lolote alilofanya!kiazi mkubwa.
hakuna biashara inayofilisi kama madini mkuu...mabroker wengi wamechoka hawana kituHuyo dogo nilishangaa alivyopata million 500 eti akataka kufanya biashara ya T-shirt.. Angerudi Arusha, akachukua ofisi kali na leseni ya kuuza madini akatafuta nyoka akanunua Costa ya kuwapeleka nyoka wake Mererani kutafuta Tanzanite yeye anakuja kununua then anaenda kuuza US na China.. Pia angeweza kununua gold kuanzia kilo na kuendelea then anaenda kuuza huko mbele.. Within a year angekuwa anacheza kwenye billion kadhaa huko
tatizo humu kuna watoto wengi hawajui pesa..pesa wanayoijua ni ya boom tu la chuo..milioni 500 ni pesa ndogo sana...Wamuulize diamond anatumia sh. Ngapi kwa mwezi ndio watashanga..pesa ndogo sana hiyo500m kama akili yako sio nzuri hata mwaka hauishi imeshapotea. .
Kama hujawahi kushika hela nyingi utabisha