Idris Sultan: Watu wametafuna pesa zangu mpaka zimeisha

Idris Sultan: Watu wametafuna pesa zangu mpaka zimeisha

Nakumbuka baada ya kushinda hizo pesa, tulikuwa mahali na Dk. Ngowi, mchumi na bonge la entrepreneur akasema huyu kijana akifanya mchezo hiyo hela itaisha na atabaki na ka biashara kadogo tuu ya kumpa hela ya kula na kuendesha maisha ila akitaka kuwa bilionea atafute washauri awalipe, na hata kusimamia investment zake,

Sasa hivi ni muajiriwa wa times...haya maisha haya wakati alikuwa na uwezo wa kufungua radio station yake
 
aseme tu wema kaitafuna na asisingizie biashara
Ana msingizia meneja wa zamani ili kuficha ukweli tu biashara kweli alifanya ila ya kununua mimba, mbona hakueleza kabla haja uziwa mimba tena ya mapacha na Tasa na akainadi sana tu, pengine mbuzi wa kwenye gunia asinge muona na hata wa kwenye fuko la plastic transparent pia haku muona? mapacha! kwa shokolana lile ubaki na kitu? aondoe ulimbukeni wake Pambaf.
 
Ana msingizia meneja wa zamani ili kuficha ukweli tu mbona hakueleza kabla haja uziwa mimba tena ya mapacha na Tansa,na akainadi sana tu pengine mbuzi wa kwenye gunia asinge muona na hata wa kwenye fuko la plastic transparent pia haku muona? mapacha! kwa shokolana lile ubaki na kitu? aondoe ulimbukeni wake Pambaf.
na yule madam anajua sana kuedeal na kulea watoto,mtu kama diamond ngastuka mapema...

idris kiukweli zile pesa aliziona ni nyingi sana,,,,mwisho wa siku hata miaka mitano haijafika pesa imepotea kama masihara na itabki story tu.
 
Mshindi wa big brother mwaka 2014 idris sultan tetesi zilizozagaa mitandaoni kwamba kuna mtu alimpa pesa zake kwa ajili ya lakini alizitumia kinyume na makubaliano.
View attachment 343854Ikumbukwe mshindi huyo wa Big Brother Africa
2014, alipata zaidi ya milioni 500. Pesa ambayo
alidai aliitumia kuwekeza katika biashara
mbalimbali, na baadae aliweka wazi kwamba
pesa hizo zilishaisha.
Akizungumza na Bongo5 Ijumaa hii, Idris
amesema ni kweli kuna mtu alikuwa anafanye
naye biashara lakini akamwingiza mkenge.
“Kuna watu ambao nimeweza kufanya nao kazi,
lakini wakaaribu baadhi ya mambo, nisingependa
kuliongelea kwa sababu kuna baadhi ya vitu
ambavyo wameviharibu sana, na hawakuweza
kuviweka sawa,” alisema Idris.
Aliongeza, “Yaani kama kupunyua, hivi vitu
vinatokeaga katika sehemu yoyote, kwenye
kampuni, kwenye nini. Kuna watu wanaweza
wakafuja mali zako au wakafanya vitu vibaya
kinyume na mlivyo kubaliana. Kwa hiyo siyo
inshu kubwa sana kwangu, kwa sababu maisha
yanaendelea na milango inafunguka,”
Stori ambazo zilikuwa katika mitandao ya kijamii
zilikuwa zinadai kuwa meneja wa zamani wa
Idris, ndiye ambaye alimwingiza mkenge Idris,
kitu ambacho Idris hakupenda kukizungumzia
zaidi.
Pia Idris amesema kwa sasa amepata
menejimenti mpya ambayo itakuwa
inamwongoka katika kazi mbalimbali
Sio WATU wametafuna aseme MTU ametafuna mbona maombolezo hayo hatuku yasikia kabla? Chezea MADAME,mchwa yule.
 
Hahahahaha mimi binafsi nilishajua akibaki hapo hakatizi miaka mitatu atabaki hana kitu... Nilipochoka ni pale aliponunua ile nyumba kule Africana.. Nikajiwazia tu kwanini huyo dogo asingerudi Arusha akaanzia palepale kwao au akarent nyumba Njiro au Sakina.. Biashara ya madini kwa huo mtaji ingemlipa mno.. Mbaya zaidi nilivyosikia anakichafua na wema nikajua ndio habari yake imekwisha..

Hahahaha...bro umeeleza vizuri sana

Japo uliwahi kuniambia wewe hua hujadili watu humu sijui leo imekuaje mkuu

samahani lakini usinitukane mkuu nimewaza kwa sauti tuu...Kudos!
 
Hahahaha...bro umeeleza vizuri sana

Japo uliwahi kuniambia wewe hua hujadili watu humu sijui leo imekuaje mkuu

samahani lakini usinitukane mkuu nimewaza kwa sauti tuu...Kudos!

Sijadili habari za kimbeya humu.. Huu uzi ungeandikwa Idris sijui ameachana na Wema au anadate na fulani wala usingeona comment yangu..

Kijana mdogo kuchezea Million 500 ndani ya miaka miwili ikapotea hii habari hata Prof Ngowi wa pale Mzumbe ukienda kumwambia ataijadili.. Hata baba yako ukikaa nae sebuleni ukimpa habari kama hii mtajadiliana..
 
Nakumbuka baada ya kushinda hizo pesa, tulikuwa mahali na Dk. Ngowi, mchumi na bonge la entrepreneur akasema huyu kijana akifanya mchezo hiyo hela itaisha na atabaki na ka biashara kadogo tuu ya kumpa hela ya kula na kuendesha maisha ila akitaka kuwa bilionea atafute washauri awalipe, na hata kusimamia investment zake,

Sasa hivi ni muajiriwa wa times...haya maisha haya wakati alikuwa na uwezo wa kufungua radio station yake

Si ndio hao kasema wameharibu hela zake?! Washauri wenyewe hapa bongo wapigaji, wanaangalia wakupige vipi!
 
Kuna apartments flani pale roundabout ya kuelekea Giraffe hotel niliona kaweka katika mitandao kwamba kanunua kamoja..kuna jamaa yangu anahudumia zile nyumba taarifa alizokuja kunipa nilichoka kabisa na nikamuona huyu Idrissa ni mngese kweli

Hata mm nliona..nikamsifu kimoyomoyo..kumbe ni changa la macho...basi ni mavi matupu
 
Sijadili habari za kimbeya humu.. Huu uzi ungeandikwa Idris sijui ameachana na Wema au anadate na fulani wala usingeona comment yangu..

Kijana mdogo kuchezea Million 500 ndani ya miaka miwili ikapotea hii habari hata Prof Ngowi wa pale Mzumbe ukienda kumwambia ataijadili.. Hata baba yako ukikaa nae sebuleni ukimpa habari kama hii mtajadiliana..
Hahaha...sawa mkuu hakuna shida nakuelewa sana hiyo ilikua "poking"
 
Si ndio hao kasema wameharibu hela zake?! Washauri wenyewe hapa bongo wapigaji, wanaangalia wakupige vipi!

Hakwenda kwa washauri aache uongo... Yaani wale waliokufanyia kampeni ushinde BBA hawana ujuzi wowote ndio wawe washauri wa mambo ya biashara?? Si angemtafuta hata huyu chige akamsaidia?? Mshauri anakuruhusu ununue nyumba na BMW kabla hata ya kutupa kiasi kwenye Investment ambayo return yake itaonekana, mshauri anakwambia ufanye biashara ya T-shirts sijui video games..
 
Hiv ile nyumba akiyokua anakaa alipotoka big brother alinunua au alipewa? Maana ni ghorofa flan amaizing
 
Hakwenda kwa washauri aache uongo... Yaani wale waliokufanyia kampeni ushinde BBA hawana ujuzi wowote ndio wawe washauri wa mambo ya biashara?? Si angemtafuta hata huyu chige akamsaidia?? Mshauri anakuruhusu ununue nyumba na BMW kabla hata ya kutupa kiasi kwenye Investment ambayo return yake itaonekana, mshauri anakwambia ufanye biashara ya T-shirts sijui video games..
Nilivyosikia kanunua nyumba na bmw nikajiuliza sasa amebaki na sh ngapi?
 
Nilivyosikia kanunua nyumba na bmw nikajiuliza sasa amebaki na sh ngapi?

Alafu sasa mara anunue saa za million 5, sijui designer shoes yaani utafikiri ni celeb ambaye tayari ana vitu vya kumpa pesa kila week... Ndio maana yule demu Msouth aliamua kuchukua chake akasepa.. She saw this coming..
 
Hizo fedha za BBA ni sawa sawa na za machimboni huwa hazifanyiwi kitu msimlaumu bure kwani mwenzake MWANZO MWAM COTTON si ilikuwa hivyo hivyo?
 
hajazitumia vizuri lakini nimpongeze kama alikumbuka kumiliki nyumba
 
Alionywa humu jf na mitandao mingine. Acha akome
 
Back
Top Bottom