Idris wa BBA abakiza million 200

AMEN....

hahaaaa....dear sasa mie mwenyewe mwembamba.....nikiendesha nadhani watasema haka katoto kameiba gari ya baba yake.....kumbe....

Hahahaaaa hapo sasa,bora mimi BMW sio kubwa sana....
Wewe mwenzangu na range? 🙄🙄
 
Mimi RANGE kubwa sana kwangu.Mimi mwembamba na range wapi na wapi?Ile BMW ni habari nyingine bwana.
Ila,kipendacho roho .....
May our dreams come true!







hahahahah.....pole yako
 
Jamani Princess sayun nimekumiss wangu umefichwa nani hebu nicheki kwa hii namba 0688212122
@cc Kim nana
 
Last edited by a moderator:
Kwa mujibu wa Mult choice walisema mshindi wa BBA uwa anakabidhiwa zawadi ya pesa yake mara baada ya muda wa miezi 3. Sidhani kama atakuwa alishalipwa hizo pesa.
 
Wakimpa mchongo wake asiwasahau kuwalamba mademu muhimu mjini wakina kidoti, onyinye, super tall wolp , kanjaa, na katoto ka yule wa bakiri mluzi sijui nani vile eti kanasoma pale kwenye harufu ya samaki lango la meri.
 
Mi nilijua atanunua walau range evoque kama ya jide?? Sasa nyumba yote hyo anapak gari amabyo warumi anatumia kwenda nayo kupiga umbea? Hapana kwa kweli sio gari hlo

Through my detective work I've found that you are a GAY
 
Hii nyumba Ontario kwenye thread yake ya Interview kasema ndo anaishi, Huyu Sultan alituingia chaka ang'oe mademu.

 
Acheni mambo ya kis##ng utampangiaje mtu matumizi ya pesa zake.kama kutafuta katafuta mwenye wewe ni nani wa kuhoji na kuhukumu
Mara angenunua range mara angebeba bebe za mjn
Acheni ujinga
Muhimu mtu kufanya nn anapenda na anaweza acheni aishi maisha yake mctake aishi vile nn mnataka
PAMBANA NA HALI YAKO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…