Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuma mtumishi anaogopa,labda wabunge wa ccm,maana watafungiwa vikao vitatuWatumishi wa serikali ndio mnaogopa..hata mitandaoni ham comment chochote hata whatsapp hamjibu text kisa mnahisi mnafuatiliwa [emoji119][emoji119][emoji119] hapo kibaya kipi kafanya?
Sent using Jamii Forums mobile app
vipi unasimama na CAG au Ndu gay?
afu bado wakina mbowe na wahuni wenzake wanasema eti Tanzania hakuna uhuru wa kujieleza..nchi za wengine huyo idrisa saivi tungekua tushazika saa nyingi sana.