Idriss sultan vs Harmonize clapback

Sema idrisa anapenda kufatilia sana wenzake Sijui halionagi aibu.....lenyewe lilishinda 500M lakini hatujui hata zilienda wp mbona wt wametulia tu linauzi sana
Alianzisha kampuni akaajiri wafanyakazi zaidi ya 10
 
Idrissa ni mchekeshaji asiejua kuchekesha...ni ujinga ujinga tu anaongea ujinga wenyewe hauchekeshi...anapitwa hata na mizengwe
 
Wabongo hatujui comedy....embu fatilieni comedians wa kwa wenxetu wanavyofanya hata obama wanamsema in a comedy way but coz obama anajua huyu jamaa ni comedian then wala hatoki povu
Comedy kwa mtu sio kwa brandy yake fatilia hata komed za mbele.. ni utani kwa mtu muonekano wa mavazi na sio brandy mzee..
 
mnauliza hela kapeleka wapi wakati munajua fika alikuwa anatembea (date) na WEMA SEPETU....
 
idris anahate halafu anajificha kwenye kivuli cha uchekeshaji!
bora alivojibiwa
akumbuke pia hakua alokua anamjua ...
wcb walipiga kampeni watu wakahamasika kuchagua BBA
akashinda ,akasababisha mpaka diamond na davido wakakorofishana.

halafu anamrushia madongo Diamond na kundi lake wanamtazama tu.
wakati yeye ana file chafu sana. watu wanamtazama tu
 
Kubishana na Comedian ni sawa na kujipiga mangumi
 
Idris na comedy zake za kuungaunga sometimes huwa anaboa alianza na Mond kuhusu wimbo wake wa merry u Mond akamnyamazia.
Sasa leo kahamia kwa harmonize, kashindwa kumvumilia, tena kamkuta harmonize na stress za kawimbo kake kubuma acha tu amchane
hahahaaa stress kweli kweli
 
Comedian uchwara. Comedian akiwa yeye joti atasimama wapi??anatabia za kimama buana,nashangaa happy women day hamjamu wish. Konde boy mtie neno huyo akome
 
Idris na comedy zake za kuungaunga sometimes huwa anaboa alianza na Mond kuhusu wimbo wake wa merry u Mond akamnyamazia.
Sasa leo kahamia kwa harmonize, kashindwa kumvumilia, tena kamkuta harmonize na stress za kawimbo kake kubuma acha tu amchane
Idriss sio comedian wala sion hicho kipaji kama kinamfaa kwanza hajui hata kuchekesha sasa hivi anatafuta kick tu kaona tangu apigwe chini na wema sasa hasikiki watu wapo bize kumjua hamorapa anaona bila ajipendekeze kwa hamorapa kumdis harmonize. But amefeli kwanza hana faida yoyote kwa jamii zaidi ya kuuza sura tu na sura yenyewe haiuziki sasa hivi sura inayouzika town ni harmorapa ndio kiboko ya mabishoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…