Mi nakuita mkombozi wa wanyonge!Wale wa 2015 na kuendelea njooni kwangu mwaya
Asante mkuuChief unamajirani wengi hongela sana
Nakusikiliza jirani..ile kongwe zaidi sukumbuki pasiwodi hahah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jiran yangu id yako si kongwe hii tuyajenge
Nakusikiliza jirani..ile kongwe zaidi sukumbuki pasiwodi hahah
HahaahhahaaaMi nakuita mkombozi wa wanyonge!
Ilibaki kidogo ninunue ID kongwe ili nibaki kwenye system!
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Huyo mwenze ID ya 2000 ni nani ? Mtu wa kwanza kujiunga humu ni mmiliki na ilikua nia baada ya 2005 sasa ww ID ya 2000 umeitoa wapiHawa ndo watu ninaowapenda na kuwazimikia.
Eti mnakaa mnadanganyana kulike na kureply comment za wabebez ukienda PM watakuelewa ptuuuuu[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]mnajidanganyaaa mxeeew
Naona kuna wakaka wanahangaika kujipendekeza kwa threads kibao za kujibebisha kwa mabebezi [emoji57][emoji57][emoji57] ili mpendwe na mjibiwe PM zenuu mxeeew mnajidanganya.
Habari ya mujini ni I'd kongwee tena wala hazipo chitchat wala MMU wapo majukwaa ya biashara huko mtu anaulizia jinsi ya kuanzisha kampuni au mradi wa kufuga kuku eeeh utaachaje kujibu PM yakee [emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182]
Eeeh sasa Demiss nimeshasema habari ya mujini ni I'd kongwee za kuanzia 2000 mpaka 2015 hiyo ndo habari ya mujini weeeh
Ukija kwangu unalike na kujipendekeza usizan nitakufeeel walaa unajidanganya mabebez wanaopenda hivyooo nawaambia hivi mnaingizwaa chakaaaaaa.
Kwanza mkae mkijua mchawi pesaaaaaaaaaaaaa.
Acheni kupoteza muda kwa kujibebisha kwa wabebez I'd kongwe zinawacheka kihutuuuu maana wanafauduuu kimyakimyaaaa.
Mke wa kalumanzila hapaaaa Demiss.
Hivi huwa mnatumia Sarufi gani kusema "....kama yote".
Huu naona ni msemo mpya na nina usikia sana.
Hahaha
NIMEJIUNGA 2017Unalia nn sasa
Bro shukrani sana.
Unajua nilikuwa najiuliza sana aisee,hivi huyu ni wewe kweli kwenye hiyo avatar ama ? Kama ni wewe daaaah !Bamdogo ndio mana nimekwambia siweki tena avatar fake una nini lakini bamdogo
Unajua nilikuwa najiuliza sana aisee,hivi huyu ni wewe kweli kwenye hiyo avatar ama ? Kama ni wewe daaaah !
Ila nashukuru kwa kunipa taarifa.