Wakuu heshima kwenu,wakati tukishuhudia matokeo ya kinyang'anyiro cha Urais, kura zilizoharibika zilikuwa ni zaidi ya laki mbili (200,000) na vituo vilivyo wasilisha matokeo havikuzidi mia hamsini (150)sasa hivi wanatumia manual counting na na kura zilizo haribika ni chini ya laki mbili na vituo vilivyowasilisha matokeo ni zaidi ya awali,kulikoni?!!