Ielewe Siri iliyopo katika Miguu yako katika Ulimwengu wa Roho

Ielewe Siri iliyopo katika Miguu yako katika Ulimwengu wa Roho

Mungu anapenda usafi wa roho,mwili ni katika uchafu uchafuao mpaka nafsi,uzinzi nk sio kukanyaga matope.
mfano wako wa manabii kama mwamposa na mafuta hauko sehemu sahihi.
 
Umewahi kujiuliza kwanini wachawi huwa wanachota mchanga mahali zilipokanyaga nyayo za mtu?

Ndugu mpendwa , miguu yako ina maana kubwa Sana na umuhimu wa kipekee katika ulimwengu wa roho . Na hii ni kwa pande zote mbili , ulimwengu wa Roho wa Nuru na ulimwengu wa roho wa giza.
Kibaya ni kwamba shetani anazitumia Sana Siri nyingi za ulimwengu wa roho ambazo wanadamu wengi wamefichwa na wanaofunuliwa ni wachache Sana. Ndiyo maana Mungu anasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.

Upo muunganiko (connection) mkubwa Sana Kati ya nyayo za miguu yako na nafsi yako ktk ulimwengu wa roho. Nyayo zako zimebeba taarifa zako zote . Mchawi anapopata nyayo zako anaweza kuelewa kila kitu kinachohusiana na maisha yako . Na kama hauna ulinzi wa kiroho , anaweza kufunga kila kitu ktk maisha yako .
Nyayo zako zinapokanyaga juu ya ardhi zinaacha taarifa zako hapo. Na ndiyo maana ardhi ya kwako/ nyumbani kwenu inakutambua na inakusikiliza chochote utakachoiambia. Au hili nalo haulifahamu nije kukufafanulia siku nyingine? Na hapa ndiyo uelewe laana aliyopewa kaini inavyofanya kazi ( kulaaniwa juu ya ardhi).

Yaani ukilaaniwa juu ya ardhi ,nyayo zako zinabeba taarifa . Kwahiyo kila utakapokwenda ukishakanyaga tu mguu wako ktk ardhi nyayo zako zinatoa taarifa ktk ardhi hiyo "huyu mtu ameelaaniwa juu ya ardhi" . Kwahiyo hata ufanye nini uende wapi hutafanikiwa mpk laana ivunjwe..

Kwahiyo nyayo zako zina connection Kati ya ardhi na mbingu .

Labda nikupe changamoto Kidogo ambayo unaweza usiipende wewe mkristo lkn ndiyo maarifa yenyewe nakuongezea Sasa.

Umewahi kujiuliza kwanini wafuasi wa Mwamposa hawayakanyagi mafuta ya upako wakiwa wamevaa viatu??

Ni ukweli kuwa Mungu anapenda usafi , lkn Umewahi kujiuliza kwa kina kwanini manabii wote pamoja na Yesu ,wayahudi walikuwa wanavua viatu walipokuwa wanakaribia mbele za Mungu hata Kama ni porini kwny mifugo? Mungu anamwambia Musa "vua viatu maana mahali hapa ni patakatifu". Ilikuwa ni lazima connection ya nyayo isome kwny ardhi ipeleke taarifa kwenye ulimwengu wa Roho.

Tuliache hilo ni somo la siku nyingine . Turudi kwny mada kuu.

NYAYO ZAKO ZIMEBEBA VITU GANI
?

Shetan anapotaka kuiba muda na wakati wa mwanadamu huwa anapiga na kumfunga MIGUU:

Katika nyayo za miguu kuna vitu 5 wanalenga kukuondolea;

1. Kibali;
- inachafuliwa nyota yako usikubalike na watu bila sbb kila unapoenda. Nyayo zako zimebeba kibali chako.

2. Heshima;
- Unaondolewa heshima uwe mtu wa kudharauliwa ktk jamii na kuonekana hufai . Ndiyo maana hata kimila vijana huinama na kuwashika miguu wazee nao huwashika kichwa.

3. Hatua;
- Unafungwa miguu usipige hatua yyt ya maendeleo au mafanikio. Miguu ndiyo inakufanya utembee huko na huko kutafuta riziki . Ukiishafungwa maana yake hutapiga hatua yyt .

4. Maamuzi;
- wanapokufunga miguu wanakufunga ufahamu wako wa kufikiri usiweze kufanya maamuz ya maana ya kusonga mbele.unapanga mipango mingi mizuri lkn hautekelezi. Hata ukipata wazo zuri kiasi gani utaishia kulisema tu na kuliweka kwny mipango miaka inaenda.

5.Umiliki na utawala;
-Ukifungwa miguu unapoteza umiliki wa mali na ardhi unayoikanyaga. Hutamiliki Mali na Kama ulikuwa nazo utaanza kufilisika.

Haya ni mambo ambayo roho ya umaskini inapomuingia mtu huwa inamuondolea . Na hivi vyote vinaanzia kwenye nyayo zako.

Je ni nini huwa kinafanyika kwny kivuli chako ? Nitakujulisha siku nyingine Mungu akipenda
Nakusubiri.Kumbe Mwamposa Yuko sahihi
 
Nakumbuka nikiwa kama darasa la Tano.. Arusha huko maeneo ya Arusha sekondari huko .... siku Moja niliona gari imepita barabara ya vumbi mara akatokea jamaa akachota udongo wa Mahali tairi ilipopita akaufunga akautia mfukoni,.... Mhhhhhh aseee Dunia Ina mengi
 
Umewahi kujiuliza kwanini wachawi huwa wanachota mchanga mahali zilipokanyaga nyayo za mtu?

Ndugu mpendwa , miguu yako ina maana kubwa Sana na umuhimu wa kipekee katika ulimwengu wa roho . Na hii ni kwa pande zote mbili , ulimwengu wa Roho wa Nuru na ulimwengu wa roho wa giza.
Kibaya ni kwamba shetani anazitumia Sana Siri nyingi za ulimwengu wa roho ambazo wanadamu wengi wamefichwa na wanaofunuliwa ni wachache Sana. Ndiyo maana Mungu anasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.

Upo muunganiko (connection) mkubwa Sana Kati ya nyayo za miguu yako na nafsi yako ktk ulimwengu wa roho. Nyayo zako zimebeba taarifa zako zote . Mchawi anapopata nyayo zako anaweza kuelewa kila kitu kinachohusiana na maisha yako . Na kama hauna ulinzi wa kiroho , anaweza kufunga kila kitu ktk maisha yako .
Nyayo zako zinapokanyaga juu ya ardhi zinaacha taarifa zako hapo. Na ndiyo maana ardhi ya kwako/ nyumbani kwenu inakutambua na inakusikiliza chochote utakachoiambia. Au hili nalo haulifahamu nije kukufafanulia siku nyingine? Na hapa ndiyo uelewe laana aliyopewa kaini inavyofanya kazi ( kulaaniwa juu ya ardhi).

Yaani ukilaaniwa juu ya ardhi ,nyayo zako zinabeba taarifa . Kwahiyo kila utakapokwenda ukishakanyaga tu mguu wako ktk ardhi nyayo zako zinatoa taarifa ktk ardhi hiyo "huyu mtu ameelaaniwa juu ya ardhi" . Kwahiyo hata ufanye nini uende wapi hutafanikiwa mpk laana ivunjwe..

Kwahiyo nyayo zako zina connection Kati ya ardhi na mbingu .

Labda nikupe changamoto Kidogo ambayo unaweza usiipende wewe mkristo lkn ndiyo maarifa yenyewe nakuongezea Sasa.

Umewahi kujiuliza kwanini wafuasi wa Mwamposa hawayakanyagi mafuta ya upako wakiwa wamevaa viatu??

Ni ukweli kuwa Mungu anapenda usafi , lkn Umewahi kujiuliza kwa kina kwanini manabii wote pamoja na Yesu ,wayahudi walikuwa wanavua viatu walipokuwa wanakaribia mbele za Mungu hata Kama ni porini kwny mifugo? Mungu anamwambia Musa "vua viatu maana mahali hapa ni patakatifu". Ilikuwa ni lazima connection ya nyayo isome kwny ardhi ipeleke taarifa kwenye ulimwengu wa Roho.

Tuliache hilo ni somo la siku nyingine . Turudi kwny mada kuu.

NYAYO ZAKO ZIMEBEBA VITU GANI
?

Shetan anapotaka kuiba muda na wakati wa mwanadamu huwa anapiga na kumfunga MIGUU:

Katika nyayo za miguu kuna vitu 5 wanalenga kukuondolea;

1. Kibali;
- inachafuliwa nyota yako usikubalike na watu bila sbb kila unapoenda. Nyayo zako zimebeba kibali chako.

2. Heshima;
- Unaondolewa heshima uwe mtu wa kudharauliwa ktk jamii na kuonekana hufai . Ndiyo maana hata kimila vijana huinama na kuwashika miguu wazee nao huwashika kichwa.

3. Hatua;
- Unafungwa miguu usipige hatua yyt ya maendeleo au mafanikio. Miguu ndiyo inakufanya utembee huko na huko kutafuta riziki . Ukiishafungwa maana yake hutapiga hatua yyt .

4. Maamuzi;

- wanapokufunga miguu wanakufunga ufahamu wako wa kufikiri usiweze kufanya maamuz ya maana ya kusonga mbele.unapanga mipango mingi mizuri lkn hautekelezi. Hata ukipata wazo zuri kiasi gani utaishia kulisema tu na kuliweka kwny mipango miaka inaenda.

5.Umiliki na utawala;
-Ukifungwa miguu unapoteza umiliki wa mali na ardhi unayoikanyaga. Hutamiliki Mali na Kama ulikuwa nazo utaanza kufilisika.

Haya ni mambo ambayo roho ya umaskini inapomuingia mtu huwa inamuondolea . Na hivi vyote vinaanzia kwenye nyayo zako.

Je ni nini huwa kinafanyika kwny kivuli chako ? Nitakujulisha siku nyingine Mungu akipenda
...Kwa hiyo tusivar Viatu ili nyayo ziguse ardhi? Sasa wanasomaje nyayo zetu kwenye mchangu tunaokanyaga na Kiatu ??
 
Nakumbuka nikiwa kama darasa la Tano.. Arusha huko maeneo ya Arusha sekondari huko .... siku Moja niliona gari imepita barabara ya vumbi mara akatokea jamaa akachota udongo wa Mahali tairi ilipopita akaufunga akautia mfukoni,.... Mhhhhhh aseee Dunia Ina mengi
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakumbuka nikiwa kama darasa la Tano.. Arusha huko maeneo ya Arusha sekondari huko .... siku Moja niliona gari imepita barabara ya vumbi mara akatokea jamaa akachota udongo wa Mahali tairi ilipopita akaufunga akautia mfukoni,.... Mhhhhhh aseee Dunia Ina mengi
Aisee!!!
 
Umewahi kujiuliza kwanini wachawi huwa wanachota mchanga mahali zilipokanyaga nyayo za mtu?

Ndugu mpendwa , miguu yako ina maana kubwa Sana na umuhimu wa kipekee katika ulimwengu wa roho . Na hii ni kwa pande zote mbili , ulimwengu wa Roho wa Nuru na ulimwengu wa roho wa giza.
Kibaya ni kwamba shetani anazitumia Sana Siri nyingi za ulimwengu wa roho ambazo wanadamu wengi wamefichwa na wanaofunuliwa ni wachache Sana. Ndiyo maana Mungu anasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.

Upo muunganiko (connection) mkubwa Sana Kati ya nyayo za miguu yako na nafsi yako ktk ulimwengu wa roho. Nyayo zako zimebeba taarifa zako zote . Mchawi anapopata nyayo zako anaweza kuelewa kila kitu kinachohusiana na maisha yako . Na kama hauna ulinzi wa kiroho , anaweza kufunga kila kitu ktk maisha yako .
Nyayo zako zinapokanyaga juu ya ardhi zinaacha taarifa zako hapo. Na ndiyo maana ardhi ya kwako/ nyumbani kwenu inakutambua na inakusikiliza chochote utakachoiambia. Au hili nalo haulifahamu nije kukufafanulia siku nyingine? Na hapa ndiyo uelewe laana aliyopewa kaini inavyofanya kazi ( kulaaniwa juu ya ardhi).

Yaani ukilaaniwa juu ya ardhi ,nyayo zako zinabeba taarifa . Kwahiyo kila utakapokwenda ukishakanyaga tu mguu wako ktk ardhi nyayo zako zinatoa taarifa ktk ardhi hiyo "huyu mtu ameelaaniwa juu ya ardhi" . Kwahiyo hata ufanye nini uende wapi hutafanikiwa mpk laana ivunjwe..

Kwahiyo nyayo zako zina connection Kati ya ardhi na mbingu .

Labda nikupe changamoto Kidogo ambayo unaweza usiipende wewe mkristo lkn ndiyo maarifa yenyewe nakuongezea Sasa.

Umewahi kujiuliza kwanini wafuasi wa Mwamposa hawayakanyagi mafuta ya upako wakiwa wamevaa viatu??

Ni ukweli kuwa Mungu anapenda usafi , lkn Umewahi kujiuliza kwa kina kwanini manabii wote pamoja na Yesu ,wayahudi walikuwa wanavua viatu walipokuwa wanakaribia mbele za Mungu hata Kama ni porini kwny mifugo? Mungu anamwambia Musa "vua viatu maana mahali hapa ni patakatifu". Ilikuwa ni lazima connection ya nyayo isome kwny ardhi ipeleke taarifa kwenye ulimwengu wa Roho.

Tuliache hilo ni somo la siku nyingine . Turudi kwny mada kuu.

NYAYO ZAKO ZIMEBEBA VITU GANI
?

Shetan anapotaka kuiba muda na wakati wa mwanadamu huwa anapiga na kumfunga MIGUU:

Katika nyayo za miguu kuna vitu 5 wanalenga kukuondolea;

1. Kibali;
- inachafuliwa nyota yako usikubalike na watu bila sbb kila unapoenda. Nyayo zako zimebeba kibali chako.

2. Heshima;
- Unaondolewa heshima uwe mtu wa kudharauliwa ktk jamii na kuonekana hufai . Ndiyo maana hata kimila vijana huinama na kuwashika miguu wazee nao huwashika kichwa.

3. Hatua;
- Unafungwa miguu usipige hatua yyt ya maendeleo au mafanikio. Miguu ndiyo inakufanya utembee huko na huko kutafuta riziki . Ukiishafungwa maana yake hutapiga hatua yyt .

4. Maamuzi;
- wanapokufunga miguu wanakufunga ufahamu wako wa kufikiri usiweze kufanya maamuz ya maana ya kusonga mbele.unapanga mipango mingi mizuri lkn hautekelezi. Hata ukipata wazo zuri kiasi gani utaishia kulisema tu na kuliweka kwny mipango miaka inaenda.

5.Umiliki na utawala;
-Ukifungwa miguu unapoteza umiliki wa mali na ardhi unayoikanyaga. Hutamiliki Mali na Kama ulikuwa nazo utaanza kufilisika.

Haya ni mambo ambayo roho ya umaskini inapomuingia mtu huwa inamuondolea . Na hivi vyote vinaanzia kwenye nyayo zako.

Je ni nini huwa kinafanyika kwny kivuli chako ? Nitakujulisha siku nyingine Mungu akipenda
Nimefika hapa baada ya kuota ndoto miguu yangu ni michafu. Nami nimeenda nyumba fulani naomba niingie bafuni nipashe miguu ibadilishe na nguo. Katika kutafuta fasiri nimefika hapa . Asante sana
 
Back
Top Bottom