Ielewe Siri iliyopo katika Miguu yako katika Ulimwengu wa Roho

Mungu anapenda usafi wa roho,mwili ni katika uchafu uchafuao mpaka nafsi,uzinzi nk sio kukanyaga matope.
mfano wako wa manabii kama mwamposa na mafuta hauko sehemu sahihi.
 
Nakusubiri.Kumbe Mwamposa Yuko sahihi
 
Nakumbuka nikiwa kama darasa la Tano.. Arusha huko maeneo ya Arusha sekondari huko .... siku Moja niliona gari imepita barabara ya vumbi mara akatokea jamaa akachota udongo wa Mahali tairi ilipopita akaufunga akautia mfukoni,.... Mhhhhhh aseee Dunia Ina mengi
 
...Kwa hiyo tusivar Viatu ili nyayo ziguse ardhi? Sasa wanasomaje nyayo zetu kwenye mchangu tunaokanyaga na Kiatu ??
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee!!!
 
Nimefika hapa baada ya kuota ndoto miguu yangu ni michafu. Nami nimeenda nyumba fulani naomba niingie bafuni nipashe miguu ibadilishe na nguo. Katika kutafuta fasiri nimefika hapa . Asante sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…