IELT na passport

deezekiels

Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
42
Reaction score
3
Habari wana jf, naomba msaada wa taarifa za gharama, mahali na hatua zote za kupata international english language test certificate ( IELT) na passport.
 
IELTS test unaweza kufanya katika vituo vya British Council Dar na wana tawi Arusha nadhani. Gharama si chini ya Laki 3 na nusu maana inategemea na kupanda au kushuka kwa dola. Pasport nenda ofisi za uhamiaji karibu na ulipo na gharama ni 50,000/= ila ukiona kuna mizunguko ya kuipata akili kumkichwa......
 
Hivi kati ya IELTS na TOEFL upi ni mtihani mgumu zaidi? Maana nilisikia kuna mmoja wapo unafanya online na ukiwa computerized?
 
Mh! Kwangu IELT ni rahisi zaidi kuliko TOEFL....ila ungecheki mwenyewe uzuri unaweza kufanya mazoezi mtandaoni kabla ya kufanya pepa halisi. Kama una simu ya Android unaweza download apps zote mbili za mitihani na kuona ipi rahisi na ipi ngumu
 
Mh! Kwangu IELT ni rahisi zaidi kuliko TOEFL....ila ungecheki mwenyewe uzuri unaweza kufanya mazoezi mtandaoni kabla ya kufanya pepa halisi. Kama una simu ya Android unaweza download apps zote mbili za mitihani na kuona ipi rahisi na ipi ngumu

Alaaa kumbe!! Ngoja nidownload apps zao nipime uzito wa pande zote mbili.
 
Ok asante wana jf, pia napenda mnijuze kuhusu passport unaomba idadi ya nchi unazotarajia kwenda au inatolewa kwa nchi ngapi?
 
Ok asante wana jf, pia napenda mnijuze kuhusu passport unaomba idadi ya nchi unazotarajia kwenda au inatolewa kwa nchi ngapi?

Passport ni utambulisho wa kukutambulisha wewe popote pale duniani..Ukiishaipata utafanya utaratibu wa viza/Muhuri/kibari cha kuruhusiwa kwenda nchi unayotaka kwenda ambacho unakipata kwenye balozi ya nchu husika

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…