If Current Growth Rate Remains Constant, Tanzania Will Overtake Kenya GDP in 2038

Wakenya hawaishi vituko aiseee...juzi hapa walikuwa wana-vote nchi itakayoongoza kiuchumi Africa kwa miaka ijayo..hahaaaaa haaaaa hizi elimu za mkoloni ni hatari kwa afya ya akili!
Hiyo ilikuwa ni live poll twitter, tena CNN ndio waliibuka nayo sio wakenya. Wao wenyewe ndio waliwaeleza watazamaji wao na watu kule twitter wachague kati ya Kenya, Ethiopia, South Africa na Nigeria.
 
Hiyo ilikuwa ni live poll twitter, tena CNN ndio waliibuka nayo sio wakenya. Wao wenyewe ndio waliwaeleza watazamaji wao na watu kule twitter wachague kati ya Kenya, Ethiopia, South Africa na Nigeria.
Napiga hesabu kama ingekuwa ni hiyo Tz ingekuwa kwa hiyo poll hatungepumua miaka karibu ushirini hivi.
 
Hiyo ilikuwa ni live poll twitter, tena CNN ndio waliibuka nayo sio wakenya. Wao wenyewe ndio waliwaeleza watazamaji wao na watu kule twitter wachague kati ya Kenya, Ethiopia, South Africa na Nigeria.
Kwa hiyo nawe ukapigia Kenya awe mshindi,mungu atuepushe na akili hizi aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…