If you are going to buy a new Smart TV then these tips will be useful

Huyu mbaba nadhani uwa hajui kiswahili
Threads zake karibu zote nazoonaga uwa ni english.. sasa sijui ni English ya C&P au vipi. Lol
Vitu vingine hapa ukisema utaonekana mbaya. Hatukatai,kama kachukua sehemu na kuleta,hata hivo angeeleza. Lakini 95% ya nyuzi na comments ni swahili,anataka tujue amesoma? Au anataka kuelewesha watu! Mada yake ina umhimu. Lakini njia aliyotumia si sahihi.
 
Hiyo ame copy na kuja ku paste mbona mnalalamika kwa kitu chepesi. Hajaandika yeye....
 
Kwahiyo mmesoma kweli🙆🙆🙆
Khah! Utaanzaje! Kuna mwingine anaandika,kipande kimoja kiswahili, badae anaanza kingereza, anatiririka weee,tena kingereza,hadi kero. Sasa na uzi mrefu hivi, unajua radha ya jf ni comments tu
 
Khah! Utaanzaje! Kuna mwingine anaandika,kipande kimoja kiswahili, badae anaanza kingereza, anatiririka weee,tena kingereza,hadi kero. Sasa na uzi mrefu hivi, unajua radha ya jf ni comments tu
Wenzangu nimeona mnashuka tuu nikajua mmesoma😂
 
Inch 32 ni TV kubwa?
Unashangaza aisee
 
Let keep this thread for my future use...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…