If you are going to buy a new Smart TV then these tips will be useful

If you are going to buy a new Smart TV then these tips will be useful

Huyu mbaba nadhani uwa hajui kiswahili
Threads zake karibu zote nazoonaga uwa ni english.. sasa sijui ni English ya C&P au vipi. Lol
ni wewe ndiyo niliyokuona ndani ya basi ukiperuzi jf? Niliichungulia simu yako sikuona id yako. Nilikaa siti ya nyuma yako ukawa unaperuzi jf bila hofu kuwa jirani yako naikodolea macho simu yako
 
ni wewe ndiyo niliyokuona ndani ya basi ukiperuzi jf? Niliichungulia simu yako sikuona id yako. Nilikaa siti ya nyuma yako ukawa unaperuzi jf bila hofu kuwa jirani yako naikodolea macho simu yako
Basi la kwenda wapi kutokea wapi?
Nina muda mrefu sana sijapanda basi
 
Back
Top Bottom