Elections 2015 If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!

Nikiisoma hii nakusifu kwa ubashiri wako wa mambo. Hasa pale uliposema kuhusu uchaguzi wa 2020, kwamba atakuwa dictator, kwamba pona yetu itakuwa kwa yule aliyemleta amchukue tena. Paskali unatisha!
 
Pasco, hakika sayansi ya siasa unaifahamu. Hakika siasa ya nchi yetu, unaifahamu!

Salute brother!
 
Paschal ni mtu way system ya karibu na Rais na kile kite go kinachotunza siri za nchi ambazo hata rais hazijui
 
Mwanaume asiekuwa na msimamo ni Janga kwenye jamii... kaa hivyo hivyo ka bendela fata upepo
Pascal Mayalla , hilo bandiko ambalo imeoneoana ulitabiri ulikuja ku edit? Maana hili ambalo huyu member Junior. Cux: ambalo ndo la kwanza ni tofauti kabisa na hili ambalo umeandika na kuonekana kama ulitabiri yote ya kuhusu Lowassa kwamba atarudi ccm na pia kujiuzulu siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…