there are Two possible outcomes with Magufuli
1.MAGUGULI BEING ''MAGUFULI''.....
2.A ''REMOTE CONTROLLED'' MAGUFULI
What?Magufuli awe remote controlled? bila shaka haumfahamu Magufuli wewe, Pasco ebu mueleweshe huyu amfahamu MAgufuli, RAis wa Awamu ya Tano wa Tanzania.
Hofu ya wote ikiwemo wana CCM wenyewe ni chama na serikali kutwaliwa, badala ya serikali na chama cha CCM sasa ni serikali na chama cha MAGUFULI.