there are Two possible outcomes with Magufuli
1.MAGUGULI BEING ''MAGUFULI''.....
2.A ''REMOTE CONTROLLED'' MAGUFULI
Roho yako inajua unasema uwongo.... Mungu wetu anjua wewe ni Mwongo.....
Magufuli will be remotely controlled from Msoga..!!! Like Bulldozer...!!!
Naamini 100% kwa uhakika kabisa.....MAGUFULI HAWEZI kamata mali ya ma trillions za JK, Mkapa au Kinana...!!!
Naamini 100% kwa UHAKIKA..!! MAGUFULI HAWEZI fumua mikataba mibovu JK aliyo ingia hata kidogo...!!!
So, WATANZANIA watabakia MASKINI WA KUFA...ufukara hadi wakome...!!!
Watanzania ndio WAKOME... NATAKA WAPATE SHIDA KUU, NA DHIKI KUU... ILI wapate akili na kujua adui wa maisha yao ni CCM...!!!
Na DHIKI kuu kwa wananchi ndio INAANZA...!!!
WATANZANIA WATAJUTIA KUIRUDISHA CCM MADARAKANI...!!!
NEC ni ya CCM 100%... UKAWA, wangetakiwa wakomae kabisa kabisa... wapate TUME HURU YA UCHAGUZI...!!!
HAPA NI WIZI WA KURA TU...!!!
NEC ni ya CCM...!!! So, UPINZANI sasa wakatae NEC na wakiingia tu BUNGENI... WATAKE TUME HURU YA UCHAGUZI...!!!
BILA TUME HURU YA UCHAGUZI NI BUREEEEEEEEEE....!!!
What?Magufuli awe remote controlled? bila shaka haumfahamu Magufuli wewe, Pasco ebu mueleweshe huyu amfahamu MAgufuli, RAis wa Awamu ya Tano wa Tanzania.
Hofu ya wote ikiwemo wana CCM wenyewe ni chama na serikali kutwaliwa, badala ya serikali na chama cha CCM sasa ni serikali na chama cha MAGUFULI.
The prospect of CCM being in power for almost 60 years makes me sick to my stomach!
Not only that.
The fact that Magufuli is the least qualified of all past CCM presidential nominees and therefore the likely next president for the next 10 years is hard to bear and unforgivably cringeworthy!
sio ili mradi dictator .....anatakiwa awe na added values nyingine kama akili ,focus ,vision ....lakini huyu wa kwenu mhm sijui
Wanasiasa wote ni majambazi na matapeli.
Unafikiri kuna mwanasiasa anayemjali mtu wa kawaida, mlalahoi?
Vyama vya upinzani vimekuwa haviambiliki, havishauriki.
Vyama vya upinzani kuingia katika uchaguzi kushindana na CCM, Chama dola ni sawa na mtoto mdogo kumtania Tyson au Mohammad Ali, atakuharibu uso na kukuacha na manundu.
Na hawasomi hili somo, kila baada ya miaka mitano wanaenda kutafuta majeraha mengine.
Katiba mpya na Tume huru.
Kuna wanamabadiliko wanauliza..."ulitaka vyama vya upinzani visusie kushiriki uchaguzi?"
Mimi nilifikiri vyama vya upinzani vinataka vishinde na kutangazwa washindi, kama hili si muhimu kwao wacha vishiriki tu. Lakini visitumie damu ya walalahoi kujipatia ruzuku.
Msijifanye vipofu wa kutoona jitihada ambazo vyama vya upinzani vimefanya. hivi si mwaka huu mmeona yaliyotokea kwenye katiba hamjui ccm ilikuaka makubaliano ya kufanya marekebisho kwaajili ya uchaguzUlichosema ni kweli tupu mkuu.
Mara nyingi wana siasa siyo wa kuamini kabisa. Kwa sababu kile wanachotuambia siyo wanachomaanisha mioyoni mwao. Japokuwa mimi napenda mabadiliko, lakini kwa uzembe huu, ngoja wapoteze tu. Huwezi kuingia kwenye mechi wakati huo ukijua kabisa referee ni mpenzi wa timu unayocheza nayo. Lazima utafungwa tu.
Na kwa mtazamo wangu, kama walivyoanza mapema hivi kupinga matokeo, yawezekana kabisa wakatuingiza kwenye damu za wanyonge kumwagika. Hili nadhani vyombo husika wangelikemea mapema, wasisubiri mpaka damu ya wasiyo na hatia imwagike ndo wachukuwe hatua.
Sisi sote ni Watanzania no matter our political idiology differences.
Hivyo wasituingize huko. Wajipange ndani ya miaka mitano kupigania kuwepo kwa katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi.
Hii mimi nililiona tokea mwanzo. Niliwahi kutoa angalizo humu wakati akina Mbowe wakiangaika na daftari la kudumu. Nikasema cha kwanza kabisa kama wanataka ushindi, wangepigania kuwe na Tume huru ya Uchaguzi.
Bila kuwa na Tume huru ya Uchaguzi CCM itaendelea kutawala milele na milele.
Least qualified? EXCUSE ME? What are your criteria?The prospect of CCM being in power for almost 60 years makes me sick to my stomach!
Not only that.
The fact that Magufuli is the least qualified of all past CCM presidential nominees and therefore the likely next president for the next 10 years is hard to bear and unforgivably cringeworthy!
tulishwahi kuonya kua nchi haiwezi kuchukuliwa kwa propaganda na uongo uongo mitandaoni, hicho ndio kilichotokea, mkajipange
The prospect of CCM being in power for almost 60 years makes me sick to my stomach!
Not only that.
The fact that Magufuli is the least qualified of all past CCM presidential nominees and therefore the likely next president for the next 10 years is hard to bear and unforgivably cringeworthy!
Huyu ndo rais wa kwanza mwenye PhD ya kusomea, sio ya kupewa. Huyu ndo rais wa kwanza kuingia madarakani akibebwa na rekodi yake. Wewe sijui unapimaje? Hivi huyo aliyekuwa akipigiwa debe na washabiki lukuki tunaweza kupima intellectual capability yake against huyu aliyeshinda? tuwe honest, tusubiri kuona kama performance yake ita reflect hope tuliyokuwa nayo juu yake.
Kusema tu kuwa hana akili, focus, vision - lete vipimo vya attribute hizo ili tuweze kuona kuwa huyo mwingine alikuwa na zaidi kuliko huyo ambaye inaelekea watanzania wengi wamemchagua!
DrifterUko sahihi mkuu. Lakini amini nakuambia, CCM na serikali yake wasingekubali katu. Badala yake, akina Mbowe wangepigiwa kampeni chafu sana kuwa hawalitakii mema taifa; wanataka kuvunja amani na utulivu - tunu muhimu sana za taifa. KIBAYA ZAIDI, wangekomalia suala hilo, wangejikuta wapweke vibaya sana. Wananchi wengi wasingewaunga mkono hasa baada ya viongozi wao wa dini na wengineo maarufu kuungana na serikali kukemea "hatari inayolinyemelea taifa" tena ikihusisha maadui wa nje wanaoionea wivu Tanzania! Acha CCM itawale milele hadi Watanzania watakapoona haikubaliki. Hapo hakutakuwa na haja ya mtu mmoja au chama kuchukua hatua; watajituma wenyewe tena kwa gharama kubwa zaidi.
Lowassa ana mbinu gani? Hapo ndipo mlishindwa kujipambanua kabisa. Mmetumia muda mwingi kumsafisha - muda ghali kabisa ambao mngeutumia kueleza sera zake kwa ukamilifu mpaka watu wakawaelewa. Hamuwezi kukwepa lawama kwa kushindwa kulielewa hili.Trust me! Ikiwa Magufuli atabahatika kushinda, basi ndiye atakayeifuta CCM kwenye ramani ya siasa za Tanzania! Kwa ufupi ni kilaza na wanaotarajia jipya kutoka kwake watavunjika moyo kupita kiasi!! Kazi ya urais siyo kukesha site kutafuta ujiko kwa makelele na kujipa ubora miongoni mwa wenzako!! Kumbuka kuwa urais ni kuongoza hivyo kila dosari unatupiwa wewe!! Sielewi na nasema tena sielewi imani ya watu kwa Magufuli ni yale makelele au kwenda kuchukua nyundo kugongagonga lami au kwenda kwenye mzani wa Kibaha au kutaja idadi na takwimu au kupiga makelele!
Ukijifanya mbabe kwenye urais wakati nchi yako ni masikini wakubwa watakubana tu! Ukiwa kilaza wa kushindwa kubuni mbinu za kuondoa umasikini imekula kwako!! Magufuli ana mbinu gani???
The prospect of CCM being in power for almost 60 years makes me sick to my stomach!
Not only that.
The fact that Magufuli is the least qualified of all past CCM presidential nominees and therefore the likely next president for the next 10 years is hard to bear and unforgivably cringeworthy!