Tupo pamoja
Hapa kazi tu
Nimechoka dharau za wafanyakazi wengi wa serikali kama vile unachotaka wafanye ni kosa huku ni wajibu wao.
Na bado watanyooka tu
Wanabodi,
John Pombe Magufuli ndiye Mahundi wa urais Tanzania kwa mwaka huu wa 2015-2025!, Kuna walioshindana naye, waliopingana nae, na waliopingana nae!. Kuna msemo usemao, "if you can't beat them, join them!".
Maria wito kwa wote walioshindana nae, kwanza kukubali matokeo, Pili kumpatia ushirikiano kwa ku join him.
Wakati wa mchaka to wa kumpata mgombea wa CCM nilipandisha uzi huu, kuhusu baadhi ya wagombea wa CCM wakipita wana hatari ya ku make the worst Dictators, John Pombe Magufuli was number 2 ya Rais who can make the worst dictator this country has ever had!.
Hoja kuwa Magufuli ni dictator haina mjadala, kitu cha muhimu ni kumuombea tuu kwa Mungu, angalau amfanye ni a benevolent one, vinginevyo tutajuta!.
Jakaya Kikwete ukiondoa mambo yake ya Kikwete ya uswahili Swahili, alikuja ni mtu mwenye huruma iliyooitiliza kiasi cha kutafsiriwa ni Rais dhaifu, hivyo CCM ya Kikwete ilikuwa ni CCM dhaifu!, CCM ya Magufuli itakuwa ni CCM sasa kazi tuu, ambayo ni hatari kwa waliozoea CCM lege lege, hivyo akijenga CCM imara sana, huu upinzani mwisho ni 2020!.
JK tumemchekea, tumemdhihaki, tumembeza, tumemkejeli, hadi kumchezea, yeye akicheka tuu na kuwaacha yapite. Kwa Magufuli, hakuna kucheka, wala hakuna mchezo, ni kazi tuu, hivyo hili ni angalizo muhimu sana na hata majaaliwa ya huu Uhuru tulionao humu jf mbele ya unpredictable dictator, ni mashaka matupu unless we join them!.
Thanks God, mimi ni mmoja wa wachache, wanaojua huyu Magufuli aliibukia wapi hadi yeye kuwa ndie mgombea wa CCM na sababu ni zipi!. Hivyo let's hope, only zile sababu, zilizopelekea kwa nini ni Magufuli, ndio the only ones zitakazo mcheck and balance him in between being a real dictator and a benevolent dictator, so to be on a safe side, if you can't beat them, just join them!.
Wana Chadema, Wana UKAWA na Watanzania wenzangu, najua wengi wetu tulimtaka Lowassa, tumemkosa!, tukapewa Magufuli, let's just take him!. If you can't get what you want, just take what you get!.
Sio tumjoin kwa sababu ndio tumemkubali, au kwa sababu ndio sasa tunampenda, no way, we have to join them because we have to!.
Pasco!.
Kila mtu ana sharubuTanzania kwa sasa inahitaji 'a democratically elected dictator'. Kikwete kawachekea Watanzania mwishowe wanakaanza kumshika sharubu!
Dude! No matter how dissappointed you are, the truth remains Ukawa diverting for Lowassa was a wrong turn, that turns off the majority of the pro revolution, institutional change, regime change you name it, it's pure fact, whether you like or not but atleast deep down you know it!That said, what's your take on the majority - those multitudes - who are heedlessly celebrating their heads off for "winning" by carrying the man and his party into office? As for me, I'm at times awestruck watching processions after processions of exhilarated CCM fans dancing their bottoms off for each win and going berserk at the real prospect of the party reigning forever! Obviously, devoid of any due regard to its meaning to their own destiny! Can't help the feeling that I'm out of context with the real Tanzania, a country of zealots! Over 20 years of multiparty system and nothing changes! Sad! Our political processes are certainly doomed to irrationality for ages to come.
Drifter
Vyama vya upinzani vimekuwepo tangia 1992
Vimeingia kwenye uchaguzi 1995 bila kushirikiana. Je ni kweli walishirikiana katika hoja na kuunganisha nguvu kudai katiba mpya na tume huru tangia 1995?
Kama umezaliwa juzi siwezi kukulaumu.
UKAWA imezaliwa lini?
Je itachukua muda gani kwa upinzani (kama ushirika au umoja) kuwa serious na kuipa kipaumbele na kupigania katiba mpya na tume huru chini ya mwevuli mmoja? Ikiwa kwa jina la UKAWA au lingine. Hawajawahi kuonesha ulazima juu ya suala hii,usiwatetee.
Uchaguzi ukiisha wanasubiri ikiwa imebakia miezi 3 ndio wanakumbuka "ohhh vipi tutakabiliana na Tyson!!??"
Tyson kwa jeuri na kejeli anawaita, "nyie wapumbavu na malofa"
Miaka 20 na usheee hupati katiba mpya au tume huru. Unajiuliza ni kwa nini? na kama CCM itapewa "ushindi" miaka itaongezeka.
Uhuru wa Tanganyika ulipiganiwa na kupatikana katika muda gani watanganyika walipokuwa tayari na serious wanataka uhuru kutoka kwa mwingereza?
Dude! No matter how dissappointed you are, the truth remains Ukawa diverting for Lowassa was a wrong turn, that turns off the majority of the pro revolution, institutional change, regime change you name it, it's pure fact, whether you like or not but atleast deep down you know it!
Magufuli will be remotely controlled from Msoga..!!! Like Bulldozer...!!!
Naamini 100% kwa uhakika kabisa.....MAGUFULI HAWEZI kamata mali ya ma trillions za JK, Mkapa au Kinana...!!!
Naamini 100% kwa UHAKIKA..!! MAGUFULI HAWEZI fumua mikataba mibovu JK aliyo ingia hata kidogo...!!!
So, WATANZANIA watabakia MASKINI WA KUFA...ufukara hadi wakome...!!!
Watanzania ndio WAKOME... NATAKA WAPATE SHIDA KUU, NA DHIKI KUU... ILI wapate akili na kujua adui wa maisha yao ni CCM...!!!
Na DHIKI kuu kwa wananchi ndio INAANZA...!!!
WATANZANIA WATAJUTIA KUIRUDISHA CCM MADARAKANI...!!!
NEC ni ya CCM 100%... UKAWA, wangetakiwa wakomae kabisa kabisa... wapate TUME HURU YA UCHAGUZI...!!!
HAPA NI WIZI WA KURA TU...!!!
NEC ni ya CCM...!!! So, UPINZANI sasa wakatae NEC na wakiingia tu BUNGENI... WATAKE TUME HURU YA UCHAGUZI...!!!
BILA TUME HURU YA UCHAGUZI NI BUREEEEEEEEEE....!!!
Wanabodi,
John Pombe Magufuli ndiye Mahundi wa urais Tanzania kwa mwaka huu wa 2015-2025!, Kuna walioshindana naye, waliopingana nae, na waliopingana nae!. Kuna msemo usemao, "if you can't beat them, join them!".
.
The prospect of CCM being in power for almost 60 years makes me sick to my stomach!
Not only that.
The fact that Magufuli is the least qualified of all past CCM presidential nominees and therefore the likely next president for the next 10 years is hard to bear and unforgivably cringeworthy!
Jimbo la kilindi: Jumla ya Wapiga kura = 46830Wakati mpo busy kufarilia viongozi waliopita na kufundisha watu kulinda kura mlikuwa wapi kuwafundisha kuzipiga kuwaomba kuwapigia magoti pia.
Wananchi wamechagua na heshimu hayo. Kura kuibwa basi nanyi mumeiba mliposhinda.
Kumbuka ni wananchi wameamua na hawakulazimishwa kwa kushikwa shingo.
Kama unakumbuka katiba mpya ndiyo ilikusudiwa kutumika katika uchaguzi huu lakini baada ya kushindikana ndio wakaamua (JK na Viongozi wengine - John Cheyo Mwenyekiti) kuwa vibadilishwe baadhi ya vifungu kama matokeo kupingwa, tume huru. Mbadilishaji alikuwa ni hili bunge la Makinda, lakini Cheyo akawageuka wenzake. Nadhani hata Mkulu kuna jinsi alivyo 'lielekeza' bunge na ndio maana Mh. Mnyika alivyoleta hii hoja kwa kuomba mwongozo wa dharura spika akaipiga chini!Tulikubali vipi kwenda kwenye uchaguzi bila kudai tume huru kwanza???
Hapa Kazi tu ndio jambo jema kwa Tanzania. Ule wizi wa maofisini na kufumbiwa macho, utayeyuka punde atakapo ingia IKULU. Wengi walizoe kuiba na kufanya yao, lakini kama kufuata sheria na kuwaweka Lupango kwako ni Udiketa, basi na iwe hivyo. Hiyo ndio lugha pekee Mtanzania ataelewa na kunyooka.Wanabodi,
John Pombe Magufuli ndiye Mahundi wa urais Tanzania kwa mwaka huu wa 2015-2025!, Kuna walioshindana naye, waliopingana nae, na waliopingana nae!. Kuna msemo usemao, "if you can't beat them, join them!".
Maria wito kwa wote walioshindana nae, kwanza kukubali matokeo, Pili kumpatia ushirikiano kwa ku join him.
Wakati wa mchaka to wa kumpata mgombea wa CCM nilipandisha uzi huu, kuhusu baadhi ya wagombea wa CCM wakipita wana hatari ya ku make the worst Dictators, John Pombe Magufuli was number 2 ya Rais who can make the worst dictator this country has ever had!.
Hoja kuwa Magufuli ni dictator haina mjadala, kitu cha muhimu ni kumuombea tuu kwa Mungu, angalau amfanye ni a benevolent one, vinginevyo tutajuta!.
Jakaya Kikwete ukiondoa mambo yake ya Kikwete ya uswahili Swahili, alikuja ni mtu mwenye huruma iliyooitiliza kiasi cha kutafsiriwa ni Rais dhaifu, hivyo CCM ya Kikwete ilikuwa ni CCM dhaifu!, CCM ya Magufuli itakuwa ni CCM sasa kazi tuu, ambayo ni hatari kwa waliozoea CCM lege lege, hivyo akijenga CCM imara sana, huu upinzani mwisho ni 2020!.
JK tumemchekea, tumemdhihaki, tumembeza, tumemkejeli, hadi kumchezea, yeye akicheka tuu na kuwaacha yapite. Kwa Magufuli, hakuna kucheka, wala hakuna mchezo, ni kazi tuu, hivyo hili ni angalizo muhimu sana na hata majaaliwa ya huu Uhuru tulionao humu jf mbele ya unpredictable dictator, ni mashaka matupu unless we join them!.
Thanks God, mimi ni mmoja wa wachache, wanaojua huyu Magufuli aliibukia wapi hadi yeye kuwa ndie mgombea wa CCM na sababu ni zipi!. Hivyo let's hope, only zile sababu, zilizopelekea kwa nini ni Magufuli, ndio the only ones zitakazo mcheck and balance him in between being a real dictator and a benevolent dictator, so to be on a safe side, if you can't beat them, just join them!.
Wana Chadema, Wana UKAWA na Watanzania wenzangu, najua wengi wetu tulimtaka Lowassa, tumemkosa!, tukapewa Magufuli, let's just take him!. If you can't get what you want, just take what you get!.
Sio tumjoin kwa sababu ndio tumemkubali, au kwa sababu ndio sasa tunampenda, no way, we have to join them because we have to!.
Pasco!.
Go to the moon. Kule hakuna CCM utaishi upendavyo na utafanya upendayo.The prospect of CCM being in power for almost 60 years makes me sick to my stomach!
Not only that.
The fact that Magufuli is the least qualified of all past CCM presidential nominees and therefore the likely next president for the next 10 years is hard to bear and unforgivably cringeworthy!
Jimbo la kilindi: Jumla ya Wapiga kura = 46830
Kura halali = 46830
Kura zilizokataliwa = Hakuna
Matokeo
ACT = 324
ADC = 221
CCM = 33942
CHADEMA = 22123
CHAUMA = 40
NLRA = 31
TLP = 27
UPDP = 22
SASA JUMLISHA MWENYEWE UJIONEE MSHANGAO WAKE.
Thank you brother. Huyu jamaa kumbe ni bendera!Mwanaume asiekuwa na msimamo ni Janga kwenye jamii... kaa hivyo hivyo ka bendela fata upepo