Abuu hanifa
JF-Expert Member
- Aug 17, 2021
- 256
- 275
Watz wanawasiwasi na chanjo ya uviko 19 kutoka kwaabeberu.
Hata hivyo vitabu vyote vya elimu mashuleni, vya mitaala, kiada kwa miaka zaidi ya 10 vinafadhiliwa na pesa za mabeberu.
Ukitafakari kwa kina utaona kabisa ule usemi wa kimombo usemao
if you want to destroy any nation without war, destroy their education system
Kwa tz ya sasa unaaply.
Watz si bure....... ndio maana kwasasa hatushtuki kwa tukio lolote lile... Ni sawa na maiti zinazotembea.
Mwanazuoni Prof Qasim Mohammed Hussein naye akapigia msumari wa mwisho hapa, na nanukuu
The enemies use a variety of methods to destroy nation civilizations, but I think all these methods are concentrated in three ways to destroy a civilization:
1) Destruction the family: You must disappear the role of the mother, by making her ashamed of herself, through describe her job as a housewife.
2) Destruction the education: Do not make an importance to the teacher in the society and reduce his status to despise by his students.
3) Dropping the Role Models (Good examples): Stabbed scientists and thinkers, doubt and belittle from opinions of them so that no one would listen to them.
If the conscious mother disappears, the faithful teacher disappears and the role model for young men and boys falls, no one else will raise the new youth to good values
Ndio maana watu aina ya kibwetere kwasasa wana wafuasi wengi kwasababu jamii ishapunguza kupitia elimu. Elimu inayofadhiliwa na mabeberu. Vibwetere wanawaaminisha wafuasi wao kuwa chanjo ya corona imeletwa kuwapunguza waafira. Kumbe watu wanapunguzwa kwa kuharibu mfumo wa elimu.
Kwass ukituma pesa kiasi cha sh 100,000 unalipia 10,000 kama kodi na makato mengine
Ukinunua umeme wa 100,000 utakatwa 10,000 kama kodi na makato mwengine.
Watz kila kitu kwetu ni sawa tu.
Hongera chisiem
Una maoni gn weye
Hata hivyo vitabu vyote vya elimu mashuleni, vya mitaala, kiada kwa miaka zaidi ya 10 vinafadhiliwa na pesa za mabeberu.
Ukitafakari kwa kina utaona kabisa ule usemi wa kimombo usemao
if you want to destroy any nation without war, destroy their education system
Kwa tz ya sasa unaaply.
Watz si bure....... ndio maana kwasasa hatushtuki kwa tukio lolote lile... Ni sawa na maiti zinazotembea.
Mwanazuoni Prof Qasim Mohammed Hussein naye akapigia msumari wa mwisho hapa, na nanukuu
The enemies use a variety of methods to destroy nation civilizations, but I think all these methods are concentrated in three ways to destroy a civilization:
1) Destruction the family: You must disappear the role of the mother, by making her ashamed of herself, through describe her job as a housewife.
2) Destruction the education: Do not make an importance to the teacher in the society and reduce his status to despise by his students.
3) Dropping the Role Models (Good examples): Stabbed scientists and thinkers, doubt and belittle from opinions of them so that no one would listen to them.
If the conscious mother disappears, the faithful teacher disappears and the role model for young men and boys falls, no one else will raise the new youth to good values
Ndio maana watu aina ya kibwetere kwasasa wana wafuasi wengi kwasababu jamii ishapunguza kupitia elimu. Elimu inayofadhiliwa na mabeberu. Vibwetere wanawaaminisha wafuasi wao kuwa chanjo ya corona imeletwa kuwapunguza waafira. Kumbe watu wanapunguzwa kwa kuharibu mfumo wa elimu.
Kwass ukituma pesa kiasi cha sh 100,000 unalipia 10,000 kama kodi na makato mengine
Ukinunua umeme wa 100,000 utakatwa 10,000 kama kodi na makato mwengine.
Watz kila kitu kwetu ni sawa tu.
Hongera chisiem
Una maoni gn weye