Ifahamu Bachelor's Degree in Pharmacy

ila nina wasiwasi kama chemist shop/duka za dawa zote nchini zinamilikiwa na wamiliki wenye hicho cheti.


Ni kweli mkuu,watu baki ndio owners wa maduka makubwa makubwa ya madawa,though wanalipa pesa nyingi kwa wafamasia wanaowadhamini kwa vyeti vyao

Ni biashara ya pili halali inayolipa sana baada ya biashara ya silaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…