Ifahamu Cosmic energy ni nini

Nachojua mimi nguvu iliyoenea ulimwenguni kote ni Nguvu ya Mungu. Nguvu hiyo ndiyo iliyovishikamanisha vitu vyote. Imeenea kote na kwa wakati wote.

Nguvu hii sayansi haitaki kuamini kwamba ndiye Mungu. Kwa sababu ya kutokuonekana kwake katika hali ya mwili, na kihalisia ubongo wa binadamu ni kupokezi taarifa kutoka katika Nguvu hizo na kuzifikisha katika mchakato wa nia ili kuamua kufanyia kazi au kutofanyika.

Ni makosa kusema waliyo kufuru huiita Mungu. Bila shaka wenye utambuzi ujua kwamba hizo ni Nguvu za Mungu.
Mungu ni Roho (hali ya kutothibitika kwa umbo la mwili ila matokeo ya kazi anayoifanya inaonekana dhahiri) nao (wanadamu) wamwaminio imewapasa kumuanimi katika roho na kweli (kujua uwepo wa Mungu bila kumuona na kuwa na hakika kwamba yupo)

Ikumbukwe Imani ni kuwa na uhakika wa jambo ambalo hujaliona.
Nguvu hiyo haina taarifa hasi inataarifa chanya pekee.

Taarifa hasi ni matokeo ya maamuzi mabaya yaliyofanywa na wanadamu na kuhifadhiwa kumbukumbu ndani ya ubongo.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Vile tu umesema unachojua wewe basi itoshe kubakia kwa upande unaojua wewe...
Kuna mengi ya kujifunza kabla ya kupitisha jambo. Hata hivyo ukielewa au usipoelewa sifaidiki na chochote in fact hili suala nimeweka kwa watu wanaolifahamu linahusu nini nyie wengine mkibaki gizani wala hamna atakae athirika na maono yenu.

Cha kukusaidia tu ukiamini hii ni nguvu inatoka kwa Mwenyezi Mungu utakuwa upo sawa...
Lakini kuamini kuwa ni Mungu nina mashaka na Imani yako kuhusu Mungu aliyekuumba. Mfuatilie zaidi kwenye vitabu vyake, Muombe idhini yake ya kumjua zaidi utafaidika.
Mwisho wa siku usije kuabudu mwanadamu mwenzio na kuita MUNGU au shetani kuita Mungu kisa tu unaamini kila kilichotoka kwa Mungu ni Mungu.

Rakims
 
Yeah Cosmic energy exist,kwa jamaa zangu wafanya yoga wanaelewa hili.
 
Hii hatari kwa watoto.mm hunijia namba 51 kila mahali nkiangalia saa ghafla naona 51 .nikiangalia salio 105,890.51 .kwa siku naweza iona mara 30.ikiwemo nkistuka usiku nakutana nayo mefatilia maana meshindwa
 
Aah mi ni mmen bhana tena dume haswa la mbegu kama una dada mi sijaoa Nina pesa kama zote moo mwenyewe akasomee๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ so shemej utafaiei
Hahaha au sio sina dada ila kama unae wewe ni bless basi
 
Umejibu Kwa hekima kubwa mno
 
Hii hatari kwa watoto.mm hunijia namba 51 kila mahali nkiangalia saa ghafla naona 51 .nikiangalia salio 105,890.51 .kwa siku naweza iona mara 30.ikiwemo nkistuka usiku nakutana nayo mefatilia maana meshindwa
Angalia kwenye list ya contact zako mtu anaeishia na namba 51...

Rejea kwenye quotes za forum unayoipenda angalia quote ya 51..

Angalia ndugu zako mwenye umri wa miaka 51...

Angalia siku ya 51 mwanzo wa mwaka huwa kinakutokea nini...

Kisha baada ya hapo fuatilia jambo kwa siku 51 na kama ni mcheza kamari cheza kwa sh. 510 au elfu 51000 bet moja...

Utakuja kunishukuru baadae..

Tumia saa 5 na dakika moja kuanza jambo lako..

Au dakika 51 kufanya jambo lako...

Kama unatumia usafiri wa gari tembea speed 51..

Mwisho kabisa makinika na umri wako ukifika miaka 51

Ushauri:

Hakuna kinachomtokea mwanadamu bila sababu hivyo fuatilia utatuletea majibu

Rakims
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ