Ifahamu dola ya Maya iliyooneshwa kwenye filamu ya Mel Gibson "Apocalypto"

Niunganishe na yoyote tu napenda kuandika andika
Daa mkuu mimi nilikuwa nafanya hobi tu,blog zenyewe nimezitelekeza sababu ya majukumu yangu mengine kunibana,wala sina connection na yeyote.Labda nikuachie blog moja ambayo haina post nyingi,lakini utakuwa na kazi ya kuvuta audience maana haina content na haijapostiwa kitambo
 
No mimi nilitaka tu niandike for fun. Yaani kama kuna mwenyewe anaisimamia mimi namsaidia tu kuandika hata bila malipo. Just for fun..
 

Safi sana! Niliwahi kufika kwenye kwenye himaya ya Maya huko Chichen Itza, Mexico mwaka 2017. Makala yako imenikumbusha mbali sana!
 
Safi sana! Niliwahi kufika kwenye kwenye himaya ya Maya huko Chichen Itza, Mexico mwaka 2017. Makala yako imenikumbusha mbali sana!
Hongera sana mkuu,ulienda kutalii au unafanya shughuli zako huko?
 
misri i Katikati ya Dunia nani alijenga hizi. tofali moja tani 200 how!? nani alizitumia kwa matumizi yepi hizi, kwa technonlojia ya kizamani
, kwa nni zinalenga sayari maalum km Nibiru kingine bana kuba kwa nini Misri iko katikati ya hizi Pyramids, na kidunia pia iko katikati?? UFo walizitumia km rada zao
 
unaweza kuwa sahihi lakini hizo ni nadharia ambazo haziwezi kuwa proved.....yet
 
Pale mwishoni ule mfupa wa nguruwe ulimponza jamaa yule kiongozi kuja kugeuka mtego huu hapa, alikufa kizembe sana.
Halafu mwishoni kabisa zinaonekana meli za wazungu zinakuja ..
 
Wiki iliyopita DStv wameirudia hii filamu yaani naipenda sana . Maya CiVIliZATiON πŸ”₯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…