Ifahamu Kiundani Dini ya Kibahai

Ifahamu Kiundani Dini ya Kibahai

Gentries Bahaullah alishakufa,ebu pitia hapa chini!
timeline1a-big.jpg
 
mshana jr karibu ushare na sisi elimu ya dini za kutoka Mashariki ya Kati na Mbali kwani karibu dini zote kubwa zimeanzia huko!
 
Nimekupata, wanatumia kitabu kinachoitwa Kitabi-Aqdas, kilichoandikwa na Bahaula mwenyewe.
Nitakitafuta ktk mtandao,
Je Atakapokuja Nabii mwingine baada ya miaka 100, kama wanavyoamini, huyo Nabii, atakuwa wa dini ya Kibahaullah au atakuwa wa dini nyingine ?
Maana wanamini Manabii wote, na huko nyuma walikuja Manabii ambao sio wa dini ya Kibahaullah, je hao wanaokuja baada ya miaka 100, watakuwa wa dini gani ?

Samahani kwa maswali.
 
Che mittoga ni miaka 1000 siyo 100.

Bahaullah alikufa,hivyo hapa tulipo tunamsubiria nabii mwingine.

Manabii huwa hawaanzishi dini,wafuasi ndiyo huanzisha dini kwa hofu ya kuyapoteza maarifa ya manabii zao.

Yesu alikufa 33 AD,Muhammad akazaliwa 1570 A.D,Bahaullah akazaliwa 1819 na kufa 1892,hivyo you never know,hata wewe yawezekana ukawa ndiye nabii huyo!

Ukiongeza 1892+1000 unapata 2892,so tupo 2017 ukitoa hapo 2892-2017 tumebakiwa na miaka 875 ya kumsubiria mdhihirishaji/nabii mwingine.

Kama upo Mwanza nenda pale Pasiansi,kwani ndipo yalipo makao makuu ya dini hii kwa kanda ya ziwa.
 
mshana jr karibu ushare na sisi elimu ya dini za kutoka Mashariki ya Kati na Mbali kwani karibu dini zote kubwa zimeanzia huko!
Hiyo ni mojawapo ya dini zinazohubiri amani upendo na usawa japo kwa sehemu inaathiriwa na tamaduni za asili ya maeneo ilikoshamiri
Misingi yake hata hivyo inajikita katika utu upendo na kujali
 
mshana jr na mambo ambayo miye yamenipendeza katika hii dini ni:kuunganisha dini na sayansi.

Wabahai huamini kuwa matatizo mengi yanayoweza kutatuliwa na wabahai kujifunza na kuipenda Sayansi

La pili,wana elimu ya lazima kwa wabahai wote.
Msisitizo wa watu kujisomea umewasaidia kuwapa uelewa wa dini zingine na hivyo wamejijengea uvumilivu wa kidini.

Na mwisho wanaamini hakuna nabii au dini ya mwisho.
Na hii ndiyo inayowafanya wateswe na waislamu hasa wasunni kule Iran.
Wanaamini kuwa kila baada ya miaka 1000,as long as tupo duniani,nabii mpya atakuja kuupdate uelewa wetu wa Mungu.
Na kwamba dini zote zinaevolve kufikia ukamilifu unaomjenga mwanadamu.
Wanaamini religions are paths to God,and not stations or destinatio!
 
mshana jr na mambo ambayo miye yamenipendeza katika hii dini ni:kuunganisha dini na sayansi.

Wabahai huamini kuwa matatizo mengi yanayoweza kutatuliwa na wabahai kujifunza na kuipenda Sayansi

La pili,wana elimu ya lazima kwa wabahai wote.
Msisitizo wa watu kujisomea umewasaidia kuwapa uelewa wa dini zingine na hivyo wamejijengea uvumilivu wa kidini.

Na mwisho wanaamini hakuna nabii au dini ya mwisho.
Na hii ndiyo inayowafanya wateswe na waislamu hasa wasunni kule Iran.
Wanaamini kuwa kila baada ya miaka 1000,as long as tupo duniani,nabii mpya atakuja kuupdate uelewa wetu wa Mungu.
Na kwamba dini zote zinaevolve kufikia ukamilifu unaomjenga mwanadamu.
Wanaamini religions are paths to God,and not stations or destinatio!
Ok, umeeleweka Pastor.
 
Inamaana wanaamini vitabu vyote vya dini zilizopo duniani na wanazitumia? mkuu Online Pastor nawewe ni mmoja wapo ama?
 
Asili100 wana vitabu vyao vya dini yao,vipo vingi,ila kitakatifu zaidi kinaitwa Kitab-i-Aqdas!

Pia wanasoma Biblia,Koran,Vedas na vinginevyo!
 
Ruaha secondary inamilikiwa na hao watu, uzur wa hiyo dini siujui zaid ya kutupa holidays nyingi kpnd tupo shule. Mara leo sikukuu ya kuzaliwa bahaullah, mara abdu baha. Siku hizo tulikua hatuingii darasan
 
mshana jr na mambo ambayo miye yamenipendeza katika hii dini ni:kuunganisha dini na sayansi.

Wabahai huamini kuwa matatizo mengi yanayoweza kutatuliwa na wabahai kujifunza na kuipenda Sayansi

La pili,wana elimu ya lazima kwa wabahai wote.
Msisitizo wa watu kujisomea umewasaidia kuwapa uelewa wa dini zingine na hivyo wamejijengea uvumilivu wa kidini.

Na mwisho wanaamini hakuna nabii au dini ya mwisho.
Na hii ndiyo inayowafanya wateswe na waislamu hasa wasunni kule Iran.
Wanaamini kuwa kila baada ya miaka 1000,as long as tupo duniani,nabii mpya atakuja kuupdate uelewa wetu wa Mungu.
Na kwamba dini zote zinaevolve kufikia ukamilifu unaomjenga mwanadamu.
Wanaamini religions are paths to God,and not stations or destinatio!
Uko sahihi kabisa lakini kuna makengeza kwenye ile imani kutokana na asili mila na desturi za wanzilishi.... Nitarejea kwa ufafanuzi
 
Back
Top Bottom