Ifahamu Saikolojia ya Hasira

Ifahamu Saikolojia ya Hasira

Hasira ni nguvu hasi inayomjaa mtu na kama sifa ya nguvu/nishati nyingine lazima itafute kitu cha kupokea;

Mtu akiwa nayo automatically inahamia kwenye maeneo fulani fulani ya mwili:

• Mwingine huenda mikononi anapiga kila kilicho mbele yake hasa cha thamani, hapa akiwepo aliyemkasirisha karibu analiwa kofi ama ngumi

• Mwingine hasira huenda miguuni na kupiga teke kilicho mbele yake

• Mwingine huenda mdomoni, maneno anayotoa makali anapata ahueni anatuliza hasira yake.

• Mwingine huenda tumboni, anatafuta chakula anachopenda anakipiga hasa, akishiba anasahau; japo hapa ni hatar sababu atapata obesity na madaktar watamshauri punguza misosi

• Mwingine huenda masikioni, akisikiliza nyimbo, counselling ama aki'share kwa mwenzake hasira inaisha

• Mwingine huwa na uwezo wa kui'ahirisha ndiyo maana biblia inamsifu sana mtu anaeweza ku control hasira yake; anaitwa ni mfano wa mtu autekaye mji
Mithali:16.32
Asiye mwepesi wa hasira ni mwema kuliko shujaa; Na mtu aitawalaye roho yake kuliko mtu atekaye mji

Hasira isipopata pa kuhamia ama kuahirishwa huzalisha kitu inaitwa uchungu, huu ni mlango mkubwa sana wa adui kuingia na kufanya makazi Ndiyo maana mda maalum wa kukaa na hasira kibiblia ni siku moja tu

Jua lisizame....
umenifunza jambo
 
Hasira ni nguvu hasi inayomjaa mtu na kama sifa ya nguvu/nishati nyingine lazima itafute kitu cha kupokea;

Mtu akiwa nayo automatically inahamia kwenye maeneo fulani fulani ya mwili:

• Mwingine huenda mikononi anapiga kila kilicho mbele yake hasa cha thamani, hapa akiwepo aliyemkasirisha karibu analiwa kofi ama ngumi

• Mwingine hasira huenda miguuni na kupiga teke kilicho mbele yake

• Mwingine huenda mdomoni, maneno anayotoa makali anapata ahueni anatuliza hasira yake.

• Mwingine huenda tumboni, anatafuta chakula anachopenda anakipiga hasa, akishiba anasahau; japo hapa ni hatar sababu atapata obesity na madaktar watamshauri punguza misosi

• Mwingine huenda masikioni, akisikiliza nyimbo, counselling ama aki'share kwa mwenzake hasira inaisha

• Mwingine huwa na uwezo wa kui'ahirisha ndiyo maana biblia inamsifu sana mtu anaeweza ku control hasira yake; anaitwa ni mfano wa mtu autekaye mji
Mithali:16.32
Asiye mwepesi wa hasira ni mwema kuliko shujaa; Na mtu aitawalaye roho yake kuliko mtu atekaye mji

Hasira isipopata pa kuhamia ama kuahirishwa huzalisha kitu inaitwa uchungu, huu ni mlango mkubwa sana wa adui kuingia na kufanya makazi Ndiyo maana mda maalum wa kukaa na hasira kibiblia ni siku moja tu

Jua lisizame....
Uko sahihi,hii ina maana pia kama ni mwanamke umemkosea mumeo ukaona kakupiga na fimbo na makofi ujue yameisha hana hasira tena,ni bora ushukuru kuliko akikaa kimya...
 
Hizo hasira za misosi na kuvunja vitu ni za matajiri. Wewe pangu pakavu huna hata hela ya kununnua mihogo upandwe na hasira za misosi si unatafutiwa kuiba mali za wenyewe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Jamii ambazo hula nyama nyekundu kwa wingi au damu / wafugaji ndio zenye watu wengi wenye hasira sana. Jamii Kama wapogo, waluguru, wazaramo na wakwere. Hawa huwa na hasira sana. Tofauti na sisi tunaokula samaki kwa wingi k.v wadigo
 
Hasira ni nguvu hasi inayomjaa mtu na kama sifa ya nguvu/nishati nyingine lazima itafute kitu cha kupokea;

Mtu akiwa nayo automatically inahamia kwenye maeneo fulani fulani ya mwili:

• Mwingine huenda mikononi anapiga kila kilicho mbele yake hasa cha thamani, hapa akiwepo aliyemkasirisha karibu analiwa kofi ama ngumi

• Mwingine hasira huenda miguuni na kupiga teke kilicho mbele yake

• Mwingine huenda mdomoni, maneno anayotoa makali anapata ahueni anatuliza hasira yake.

• Mwingine huenda tumboni, anatafuta chakula anachopenda anakipiga hasa, akishiba anasahau; japo hapa ni hatar sababu atapata obesity na madaktar watamshauri punguza misosi

• Mwingine huenda masikioni, akisikiliza nyimbo, counselling ama aki'share kwa mwenzake hasira inaisha

• Mwingine huwa na uwezo wa kui'ahirisha ndiyo maana biblia inamsifu sana mtu anaeweza ku control hasira yake; anaitwa ni mfano wa mtu autekaye mji
Mithali:16.32
Asiye mwepesi wa hasira ni mwema kuliko shujaa; Na mtu aitawalaye roho yake kuliko mtu atekaye mji

Hasira isipopata pa kuhamia ama kuahirishwa huzalisha kitu inaitwa uchungu, huu ni mlango mkubwa sana wa adui kuingia na kufanya makazi Ndiyo maana mda maalum wa kukaa na hasira kibiblia ni siku moja tu

Jua lisizame....

Mkuu mbona unazunguka sana hivi? Je, una Utani na Wakurya au Watu wa Mkoa wa Mara kwani Maudhui yako hapa kwa 100% yanawahusu mno.
 
Jamii ambazo hula nyama nyekundu kwa wingi au damu / wafugaji ndio zenye watu wengi wenye hasira sana. Jamii Kama wapogo, waluguru, wazaramo na wakwere. Hawa huwa na hasira sana. Tofauti na sisi tunaokula samaki kwa wingi k.v wadigo
Mbona matukio ya kikatili ya watu wenye hasira hayatokei kwenye jamii ulizozitaja ?
 
Hasira hasara wahenga walisema , Kat ujana wangu nilikua sensitive sana na hasira za papo hapo, Ila nilikuja kupata funzo kubwa San mwaka Fulani, ikanibadilisha kabisa mtizamo huo
Siku hizi hata ukinikanyaga mguu kwa makusudi msamaha nitakuomba mie!
 
Always question...why am i angry? What does it mean?..what are underlying feelings or unmet needs?.
 
Mkuu mbona unazunguka sana hivi? Je, una Utani na Wakurya au Watu wa Mkoa wa Mara kwani Maudhui yako hapa kwa 100% yanawahusu mno.
Hahaa aisee hapana, hasira kila mtu anayo ila tu mda wa kuisha ama jinsi ya kuondoka ndio tunatofautiana
 
Back
Top Bottom