Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,333
- 7,879
Hapana tatizo njaa... thanks kwa comments zako thoughHapana, I was wrong..., thanks kwa shule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana tatizo njaa... thanks kwa comments zako thoughHapana, I was wrong..., thanks kwa shule
Kwa ninavyojua mimi sababu ziko nyingi,ila mojawapo kubwa ninayoijua mimi ni matendo yao (moons) ya KUZUNGUUKA SAYARI, mfano mwezi wetu unaizunguuka dunia ambayo ni sayari kati ya sayari 8 zilizo ktk mfumo wetu wa jua (star). Na ndio sababu ya wanaanga kwenda mwezini (moon) kuenda kuchunguza kati ya mambo mengi moja wapo ni hili la kutaka kujua je kuna uwezekano wa kupatikana uhai kwenye mwezi (moon) na kati ya vitu walivyokwenda kuvichunguza ni kama kuna Maji,hali ya hewa na vyote vinavyowezesha uhai wa mwanadamu,lakini vilikosekana na ndio maana mwezi wetu sio kitu kwa wanasayansi ambao wanatafuta sehemu nyingine ya mwanadamu kuweza kwenda kuishi. Leo hii mwezi(moon) wetu ungekuwa unamazingira wezeshi nadhani binadamu wangeshajaa huko.
Tulia kuna forum zake ambazo ukizitembelea hakwepeki.Hivi ndivyo vitu vya kuletwa huku sio kila siku TULIA TULIA TULIA alaaaa!!!!!
Tulia kuna forum zake ambazo ukizitembelea hakwepeki.Hivi ndivyo vitu vya kuletwa huku sio kila siku TULIA TULIA TULIA alaaaa!!!!!
Asante kwa maswali yako nami nitakujibu kadri ya NIJUAVYO MIMI, mbona ni vyombo vingi sana vimeshaenda huko,ikiwa wameweza kutuma chombo sayari ya Mars,zaidi ya vyombo 18,Jupiter zaidi ya 3 n.k itashindikana vipi hapa karibu tu ...... na kuhusu hilo swali lako hapo juu,sayari zote zenye miezi(moons) huzunguukwa nayo yote kama kwenye mfano huu wa sayari ya Jupiter, japo hapa inaonekana miezi michache lakini ni miezi yake yote 67 huzunguuka ktk njia yakeMkuu nimependa maelezo yako.
Nina maswali machache kama ifuatavyo;
Mwezi uizunguka sayari na sayari yetu inazungukwa na mwezi mmoja tu kama ulivyosema hapo, sasa je hata sayari zingine zilizobaki nazo uzungukwa na mwezi mmoja mmoja pekee au kma ilivyo dunia?
Alafu pia hizi habari za kuhusu mwezini nimeshaskia contradiction nyingi sana, hivi kweli kuna binadamu aliwahi kufika mwezini au ni hoax tu?
Ameji-contradict nadhani hapo mkuu alimaanisha moon na siyo month!!!Mkuu anamaanisha moon au months
miezi 12 jan to decKumbe kila sayari ina mwezi wake? Hivi dunia ina miezi mingapi?
mkuu hapo nahisi alimaanisha moons na sio months, labda kwa kutumia hizo terminology mbili tunaezapunguza hii ambiguous situation ya neno "MWEZI" kama ilivyotumika kwenye hiyo context ya analysis ya hiyo post.miezi 12 jan to dec
Bila shaka ile Nibiru a.k.a Planet X itavutiliwa mbali na Jupiter na Sisi tukasalimika!Kingine Jupiter inasifika kwa kutupa mionzi ya usumaku(electromagnetic radiations) yenye nguvu ya hali ya juu sana kuliko sayari yoyote.
Wanasayansi wanadai sababu hii ndio inayozilinda sayari nyingine za mfumo wa jua kutogongwa na bodies nyingine ambazo huacha njia zao na kuelekea wenye sayari za mfumo wa jua.
Kama ikitokea kimondo kikubwa kinaelekea kuigonga dunia mfano, Jupita hukivuta fasta na kikanasa kwenye Jupita, hivyo mfumo wa juna unabaki salama.
Generally ni kwamba Jupiter ikiondoka kwenye mfumo wa jua sayari nyingine zitagongwa sana na bodie nyingine huko angani ambazo zinaacha njia zao.
12Kumbe kila sayari ina mwezi wake? Hivi dunia ina miezi mingapi?
so what happens for the bodies, are they destroyed (broken down) or magneted (kunasa) on the jupiter's surface?Kingine Jupiter inasifika kwa kutupa mionzi ya usumaku(electromagnetic radiations) yenye nguvu ya hali ya juu sana kuliko sayari yoyote.
Wanasayansi wanadai sababu hii ndio inayozilinda sayari nyingine za mfumo wa jua kutogongwa na bodies nyingine ambazo huacha njia zao na kuelekea wenye sayari za mfumo wa jua.
Kama ikitokea kimondo kikubwa kinaelekea kuigonga dunia mfano, Jupita hukivuta fasta na kikanasa kwenye Jupita, hivyo mfumo wa juna unabaki salama.
Generally ni kwamba Jupiter ikiondoka kwenye mfumo wa jua sayari nyingine zitagongwa sana na bodie nyingine huko angani ambazo zinaacha njia zao.
mh....kama ikishindwa kunaswa na nguvu ya electromagnetic...maaana sayari nyingine zimeumbwa kwa gesi, / au BarafuuBila shaka ile Nibiru a.k.a Planet X itavutiliwa mbali na Jupiter na Sisi tukasalimika!
tulia, alafu soma taratibu....utaelewa.Aaah.... contradiction ni nyingi mpaka kichwa kinauma
aisee, hembu nipe uzi wenye uelewa huo wa galaxiesMkuu nafikiri "universe" ndio moja tu ambapo ndani yake kuna magalaxy kibao likiwamo hili la kwetu milk way,andromeda na mengineyo...
Kuna ishu ya ukubwa (volume) na uzito (weight). Kwa ukubwa, unahitaji zaidi ya dunia 1000 kuijaza Jupiter. ila kwa weight Jupiter ina density ndogo kwa sababu ni gas giant. Check vizuri na mwanao
uko kwenye Jupiter na sayari zingine hakuna mwenzi uliopewa jina la AFRICA , maana kuna Europa na majina ya kufanana na yakizungu