mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
hizi sahili za kikanda ziendelee kupigwa domu sio rafiki kwa jobless aliye mbali napo 150k sio kitoto mkuu usawa umebana huuOk.. usikate tamaa kabisa.. pdf lingine likitoka ukaitwa basi kaendeleze mapambano
Kwa kada za watu wengi ndo nahisi watakuwa wanaofanya hvyo kupnguza Jam kule Dom.. but hizi za watu wachache sio sanahizi sahili za kikanda ziendelee kupigwa domu sio rafiki kwa jobless aliye mbali napo 150k sio kitoto mkuu usawa umebana huu
pamoja afsaKwa kada za watu wengi ndo nahisi watakuwa wanaofanya hvyo kupnguza Jam kule Dom.. but hizi za watu wachache sio sana
Sio kweli.Swali la kizushi.
Kuna ukweli kwamba GPA chini ya 3.5 hawasijisumbue kuappy??
Asante umenitoa tongo.Sio kweli.
PSRS wanawapima watu kwa interview na wala sio marks walizopata huko mavyouni.
Kwenye interview si ajabu mtu mwenye Pass akapata kazi mbele ya mtu aliyepata First class GPA.
Japokua kuna baadhi ya kada kama Teaching staffs,Tutors..n.k huwa wana consider GPA Kama kigezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu nyie wenye gentleman GPA ndio wenye content sana kichwani [emoji28].Asante umenitoa tongo.
Nilimaliza Harvard Nina gentman pass
Hahaha uzi ukiwepo wew tu lazima upate mvutoKidogo kidogo huu uzi utaanza kutrend
Yeap kwa sas naona utumishi nao watahitaji kupumzika kuhusiana na written huku wakija na Ari mpya hapo mwakaniKwasasa naona hamna Written interview tena,, zimebaki lga & Mda tena ni baadhi ya kada hiz nadhani zitaitwa mwakani
Umejuaje? Maama hapa ofsini nawanyoosha. Uchawi nje njeHalafu nyie wenye gentleman GPA ndio wenye content sana kichwani [emoji28].
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo watu wanapotea kimya kimya mwishowe nitabaki najiongelesha mwenyewe[emoji3][emoji3]Hahaha uzi ukiwepo wew tu lazima upate mvuto
Humu watu wakipata tu placements wanaondokaTatizo watu wanapotea kimya kimya mwishowe nitabaki najiongelesha mwenyewe[emoji3][emoji3]
Ila hii kitu naona inakuja automatically kwanza unapunguza kuingia kwenye uzi kisha ndo mtu anapotea kabisaHumu watu wakipata tu placements wanaondoka
Hahahaha ungeacha kuwasanua nawewe, kama kuna hiyo loophole basi warekebishe sysyem yao.Naomba kuuliza kuna post niliapply, nikafanikiwa kuingia oral na niko nasubiria pdf nijue kama niko au lah. Sasa kwenye tangazo la kazi, GPA haikutajwa kama requirement ila scale ya mshahara kwenye hiyo post ni PUTS 1.1. Naambiwa hiyo ni scale ya academicians yani kwa tutorial assistants. Na maswali ya kwenye oral, yapo ambayo yalihitaji uelewa wa mtu kwenye namna ya kudeal na wanafunzi. Nauliza je nitaweza kupata hiyo kazi kama nilijibu vizuri oral hata kama scale ya mshahara ni ya wakufunzi na GPA yangu ni pungufu? Au ndio nitachinjiwa baharini?
Mbona hamtoi matokeo ya TRA writtenOfisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imeanzishwa kwa mujibu wa kifungu cha 29(1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 298 (iliyorejewa 2019) kwa ajili ya kushughulikia mchakato wa Ajira katika Utumishi wa Umma na kuanzishwa rasmi tarehe 1 Machi, 2010.
Majukumu ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni;
- Kutafuta wataalamu wenye ujuzi maalum na kuandaa mfumo wa kuhifadhi taarifa (kanzidata) za wataalamu hao ili kurahisisha utaratibu wa kuwaajiri pindi wanapohitajika;
- Kuandaa orodha ya wahitimu wa Vyuo Vikuu na wataalamu wenye weledi kwa madhumuni ya kurahisisha rejea na ujazaji wa nafasi wazi za ajira katika Utumishi wa Umma;
- Kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma;
- Kuhusisha wataalamu maalum kwa ajili ya kufanya usaili kulingana na mahitaji;
- Kutoa ushauri kwa waajiri kuhusu masuala mbalimbali yanayohusiana na ajira; na
- Kufanya kazi nyingine yoyote inayoendana na majukumu yake kadri itakavyoelekezwa na Waziri.
Mbona hamtoi matokeo ya TRA written
Waliwahaidi lini?Mbona hamtoi matokeo ya TRA written