Ifahamu Sheria ya Usalama Barabarani ya mwaka 1973 mapungufu yake na mapendekezo

Ifahamu Sheria ya Usalama Barabarani ya mwaka 1973 mapungufu yake na mapendekezo

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
1606918353732.png

SHERIA YA USALAMA BARABARANI YA 1973 INAELEZA NINI KUHUSU MWENDOKASI?

Kifungu cha 51 (8) kinatamka pamojanna mambo mengine

(a) Katika maeneo ya makazi mwendokasi usizidi kilomita 50 kwa saa

(b) Katika maeneo ambayo si makazi, mwendokasi utadhibitiwa kwa alama za barabarani

(c) Magari yanayozidi tani 3500 hayatazidisha kilomita 80 kwa saa

AJALI SHERIA YA BARABARANI, SURA YA 168 YA MWAKA 1973 INA MAPUNGUFU

(a) Sheria inatambua maeneo machache sana katika kuzuia mwendokasi. Kuna maeneo mengi hayajatambuliwa wazi na sheria hii

(b) Sheria imetambua baadhi tu ya magari kamavile magari ya biashara ,magari yenye uzito mkubwa na yale yanayotumika kama usafiri kwa umma

(c) Sheria haijatambua aina (class) maalum ya barabara kwa ajili ya mwendokasi

JE, WADAU WANAPENDEKEZA NINI KUHUSU SHERIA YA USALAMA BARABARANI YA 1973

(a) Sheria inatakiwa kutambua maeneo yote na si yale ya mjini au maeneo ya makazi, sheria itamke wazi kuhusu maeneo ya shule

(b) kwa ajili ya kuzuia mwendokasi sheria izingatie aina zote za magari na si magari ya biashara, yenye uzito mkubwa na yale yatumikayo kwa usafiri wa umma pekee

(c) kwa ajili ya utekelezaji na utendaji; sheria iweke mawanda mapana ya kupunguza mwendokasi katika sheria kuu na sio kupitia kanuni zinazotungwa chini ya mamlaka ya waziri.

(d) Sheria itambue aina maalum ya barabara zilizotengwa kwa mwendokasi maalum (specific speed limit)
 
Upvote 0

SHERIA YA USALAMA BARABARANI YA 1973 INAELEZA NINI KUHUSU MWENDOKASI?

Kifungu cha 51 (8) kinatamka pamojanna mambo mengine

(a) Katika maeneo ya makazi mwendokasi usizidi kilomita 50 kwa saa

(b) Katika maeneo ambayo si makazi, mwendokasi utadhibitiwa kwa alama za barabarani

(c) Magari yanayozidi tani 3500 hayatazidisha kilomita 80 kwa saa

AJALI SHERIA YA BARABARANI, SURA YA 168 YA MWAKA 1973 INA MAPUNGUFU

(a) Sheria inatambua maeneo machache sana katika kuzuia mwendokasi. Kuna maeneo mengi hayajatambuliwa wazi na sheria hii

(b) Sheria imetambua baadhi tu ya magari kamavile magari ya biashara ,magari yenye uzito mkubwa na yale yanayotumika kama usafiri kwa umma

(c) Sheria haijatambua aina (class) maalum ya barabara kwa ajili ya mwendokasi

JE, WADAU WANAPENDEKEZA NINI KUHUSU SHERIA YA USALAMA BARABARANI YA 1973

(a) Sheria inatakiwa kutambua maeneo yote na si yale ya mjini au maeneo ya makazi, sheria itamke wazi kuhusu maeneo ya shule

(b) kwa ajili ya kuzuia mwendokasi sheria izingatie aina zote za magari na si magari ya biashara, yenye uzito mkubwa na yale yatumikayo kwa usafiri wa umma pekee

(c) kwa ajili ya utekelezaji na utendaji; sheria iweke mawanda mapana ya kupunguza mwendokasi katika sheria kuu na sio kupitia kanuni zinazotungwa chini ya mamlaka ya waziri.

(d) Sheria itambue aina maalum ya barabara zilizotengwa kwa mwendokasi maalum (specific speed limit)
Naomba muweke kanuni za usalama barabarani za mwaka 2015
 
Hivi nchi hii maeneo ambayo sio makaz ya watu ni kama wapi... nadhani ipo haja ya kuangalia upya hilo swala....
Sikuiz kila mahal kuna makaz... labda waseme settlement with high concentration of People..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom