Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,496
- 7,162
Coco na fanta za hapa kwetu ni tofauti naAnaleta tu siasa.Coca Cola content ni ile ile na inauzwa dunia nzima-sasa ingekuwa na madhara si dunia ingeshaipiga vita
za Ulaya mkuu... ...
Sisi huku ni under licence...kutokea South..
Fanta zetu zinatengezwa kwa mafuta ya
wanyama wakati zao USA... Wanatengeza
kwa mafuta ya mimea...ili zisijichuje rangi.