Ifahamu USSR (Urusi) iliyokuwa dola-himaya na miliki kuu ya saba ya dunia

kuna hili la huyu michael golbachev[b/] ambae ndiye rais wa ussr ilikuja kumfia mikononi mwake...miaka ya mwishoni mwa miaka ya 80 na mwanzoni mwa 90..
kuna tetesi kwamba huyu jamaa alitengenezwa mapema kwa ajili hiyo na us....
naona umeichambua vizuri ussr mkuu.....embu tumegee na hilo kama unalifamu ukipata wasaa....
 
Hiyo picha ya Sanamu aliyoota mfalme Nebukadneza(imeandikwa kwenye KITABU CHA DANIEL 2) inahusianaje na Russia? halafu pia vita ya Amalgedon(iliyoelezwa kwenye biblia) inahusianaje na Russia?
 
Mtoa mada watu mbona wanakuuliza lakini japo hata kuwajibu umeshindwa....,?
Nimeweka Uzi..... Lengo ni kupeana maarifa kwa kila mmoja mimi nimekuwa mchokoza madaa ili kila mmoja achangie kwa mpana.

Pili nitaleta sehemu ya ll nitakayo eleza kuanzia 1975 mpaka 1990 na sehemu ya lll 1990-2016
 
Yaelekea na wewe una fahamu kitu. Unaonaje ukitueleza hapa?

Pia kati ya Yelsin na Golbachev nani aliandaliwa na US?
 
On this Christmas, remember, the joy that u give to others, is the joy that comes back to u . So be joyful and make others joyful too! I wish you and your entire family fraternity A merry Christmas and Happy new year..
Sent by
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…