Mkuu mbona picha ni za befoward, kwa jinsi nilivyoelewa nikiagiza kwako, wewe unaenda befoward kuagiza na ili upate faida utaongeza gharama sasa si bora niende befoward moja kwa moja kuliko kupitia kwako middleman? Au inakuaje hapo nieleweshe kama nimeelewa tofauti.
Nazungumzia Forester la LegacyNdugu.....cc 1500 ulaji wa kawaida.... afu zikakimbiwa kwa ulaji wa mafuta
We jamaa bana, forester la legacy ndio nn?? Ni sawa na kusema harrier rav4Nazungumzia Forester la Legacy
Hee hii comment imetolewa na Nani vile?Subaru kama IST?
Inawezekana you mean well ila mamamamamamaeee umechemka katika kufananisha.
Wewe Leo umelewa sio bureNdugu.....cc 1500 ulaji wa kawaida.... afu zikakimbiwa kwa ulaji wa mafuta
Kweli kabisa hilo usemalo boss kwamba ili kampuni ipate faida itabidi ulipie ile huduma.Mkuu mbona picha ni za befoward, kwa jinsi nilivyoelewa nikiagiza kwako, wewe unaenda befoward kuagiza na ili upate faida utaongeza gharama sasa si bora niende befoward moja kwa moja kuliko kupitia kwako middleman? Au inakuaje hapo nieleweshe kama nimeelewa tofauti.
Mkuu nahitaji suzuki carry nipe mchakato mzima..iwe katika hali nzuri.Kweli kabisa hilo usemalo boss kwamba ili kampuni ipate faida itabidi ulipie ile huduma.
Kwa faida yako na wengine wanaosoma hapa, Kimomwe Motors hatukuchaji kiasi chochote cha zaida, mchakato mzima wa manunuzi tunaufanya kwa uwazi kabisa ambapo gharama ya manunuzi, usafiri, ushuru na gharama za bandari utapata kuziona kwa uwazi.
Ili kujiendesha tunategemea discount au punguzo la bei kutoka huko Beforward au kwa kampuni nyingine 11 tunazofanya nazo kazi, hilo punguzo tunalopewa kama kampuni wewe mtu mmoja huwezi kupewa, KWA SABABU YA WEWE KUTUAMINI NA KUJA KUAGIZIA KWETU TUNAKUPATIA MKATABA WA KUBEBA DHAMANA YA HIYO GARI NA VITU VYAKE VYOTE MPAKA INAKUFIKIA MKONONI.
Kwa kuongeza ni kua punguzo tunalopewa pia linakuhusu na hiyo ni sababu ya kuwatangazia kwamba mkiagiza nasi mtapata punguzo.
Mwisho usisahau kwamba kuja kuagiza gari nasi una uhakika wa kupata gari bora zaidi kwa gharama nafuu zaidi kwa kua sisi tuna hizo kampuni zaidi ya 12.
Ha ha haWe jamaa bana, forester la legacy ndio nn?? Ni sawa na kusema harrier rav4
Subaru wana forester na wana subaru legacy, matoleo mawili tofauti kabisa!
Kama uko Dar karibu sana ofisini kwetu au piga sim 0746267740Mkuu nahitaji suzuki carry nipe mchakato mzima..iwe katika hali nzuri.