HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Ndio hivyo zaidi watakuambia vistory bya ajabu ajabu ili wale 500k hadi milioni toka kwako
Mkuu mbona picha ni za befoward, kwa jinsi nilivyoelewa nikiagiza kwako, wewe unaenda befoward kuagiza na ili upate faida utaongeza gharama sasa si bora niende befoward moja kwa moja kuliko kupitia kwako middleman? Au inakuaje hapo nieleweshe kama nimeelewa tofauti.