Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa dear!!Hii imeenda
Tutaelewana na tutafika hata kwa kuchelewa π
Kabisa dear!!Hii imeenda
Tutaelewana na tutafika hata kwa kuchelewa π
Weee mchawi mpe sifa zakeee...huuu uzi bora sana aisee!!Usinisifie sana komwe litazidi huku shogare π€£π€£π€£
Mwamba yupi? πππKabisa dear!!
Uko na akili mingi sana kumbe nilikua nakuchukulia simpo simpo asee!!
Hapo mwamba kapata mke jembeeee
Naamini hiyo nafsi itafanikiwa sababu βNIAβ unayo na nitakuwa alarm yako πKwanza unakipaji cha kuandika,arafu ni inspirational speaker,hizi zote ni hela,ntakuwa nasoma uzi wako kila asubuhi mpaka nafsi yangu ielewe inachotakiwa kufanya
Yupo vizuri sana kwenye business, she is very bright.Wifi yangu,
Nikisoma vitu kama hivi kichwa changu kinachemka na usingizi unanigomea usiku..
Nashukuru sana kwa a very great reminder, Kaka Countrywide hapa mke tunaye.
Ana akili kubwa sana, nimemuambia hii mara nyingi. Akili hii alishaiweka kwenye ground years ago, she is a superwoman and a real inspirationMy Thread of the week..
Very useful! Barikiwa sana sio kwa akili kubwa hii
Sure mkuu! Nami nimeona hili!!Ana akili kubwa sana, nimemuambia hii mara nyingi. Akili hii alishaiweka kwenye ground years ago, she is a superwoman and a real inspiration
Hii kitchenHii nikachekee wapi? [emoji23][emoji23]
khakhakhaaaa!! Chooni umebadilisha???Hii nikachekee wapi? ππ
Yupo njema sanaUmetema point tupu aisee, wenye masikio na wasikie.
We ni mdada??
Thread ipo vizuri sana. Bado uhalisia ndio ungeona balaa lake[emoji123]Sure mkuu! Nami nimeona hili!!
Hii thread mtu anaeza ichukulua simpo but ni bonge moja moja thread ya muhimu maana na ya msingi sana kama victims tutaiwekea utekelezaji!