IFFHS Ranking: Simba SC ya tisa, Yanga haimo

IFFHS Ranking: Simba SC ya tisa, Yanga haimo

Kama ni mtu wa mpira na mshabiki wa Simba unajua kuwa timu yetu haiko katika ubora unaotakiwa. Huwezi kufananisha na Yanga kwa sasa, ndio maana yangu hiyo kufananisha na Yanga. Yanga kwa sasa ni bora zaidi ya Simba hilo halina ubishi. Na sioni sababu ya kutumia matusi kama wewe ni mtu wa mpita tujibu kwa hoja tu
Wewe ni Yanga na Yanga ipo vizuri, sasa kelele za nini
 
Wewe ni Yanga na Yanga ipo vizuri, sasa kelele za nini
Fatilia nyuzi zangu mimi sio Utopolo. Ila ni mkweli tusiwe tunajidanganya. Pamoja na Yanga kununua mechi, marefa, kuroga lakini timu wanayo nzuri kila idara( sisi namba 6 na CB ni changamoto ukimtoa Inonga), wanakocha mzuri na anaijua timu ( Nabi Simba tulimtaka kabla Yanga hawajaingia mipango yetu wakimtumia Manara), pia wanabenchi la ufundi zuri (Kaze ana leseni ya kufundisha timu ya ligi ya mabingwa Afrika, yupo yule mkongomani kocha wao wazamani pia). Timu inacheza kimfumo, walikuwa wanaweza mechi hii kumuweka benchi Feisal, mechi ijayo benchi Aziz Ki, mechi ijayo Banga benchi. Ukicheza kimfuko hutegemei mtu mmoja, pale Yanga mwenye uhakika ni Mayele tu ambaye sasa baada ya Musonda kuja anaweza mechi zingine akapumzishwa na bado angalia na usajili wao wanaohusishwa usishangae wanamuongeza Bruno wa Singida United. Lazima tukubali japo GSM ni mpigaji tu pale yanga lakini anajua kula na kipofu ni lazima timu ifanye vizuri mashabiki wafurahi.

Sisi huku ndio Mo analalamika pesa usajili zinaliwa wanaletwa wachezaji kina Sawadogo, CEO kwa sababu anazuia upigaji wamemkataa, makundi simba kuna kundi halimtaki Mo , kuhujuamiana sasa timu utatengeneza saa ngapi? Tuambiane ukweli tu Yanga wako vizuri na kitu pekee tulichokuwa tunajivunia Simba ni mafanikio kimataifa sasa Yanga wanaenda kufikia na hata kutuzidi mafanikio. Muda si mrefu tutasema nusu fainali kitu gani sisi tulifika fainali 1993 na Asec.
 
Ni suala la muda watani wetu Yanga watatuacha. Kwanza nawatabiria kufika fainali ya kombe la shirikisho. Timu ngumu ni za Morocco tu naa fainali ni moja tu, lolote linaweza kutokea. Kwa kweli nawapongeza kwa maendeleo ya kisoka wanayaofanya, miaka mingi hawakufika makundi na sasa wanauhakika na nusu fainali.

Msimu ujao watakuwa Champions league na nawaona wakiendelea kufika hatua za mtoano, kama Simba timu yetu haiko vizuri tunafika mtoano Yanga kuanzia msimu ujao watafika na kuingia nusu faibali na kuweka rekodi zaidi.
Kama simba hii ndiyo mbovu na iko robo Yanga ni mbovu sana ndiyo maana ilifurushwa itoke champions league
 
Kama ni mtu wa mpira na mshabiki wa Simba unajua kuwa timu yetu haiko katika ubora unaotakiwa. Huwezi kufananisha na Yanga kwa sasa, ndio maana yangu hiyo kufananisha na Yanga. Yanga kwa sasa ni bora zaidi ya Simba hilo halina ubishi. Na sioni sababu ya kutumia matusi kama wewe ni mtu wa mpita tujibu kwa hoja tu
Bora kwa kutumia kipimo gani mkuu maana zote zilikuwa champions league kwa kutumia kipimo hiki ipi ni bora?
 
Fatilia nyuzi zangu mimi sio Utopolo. Ila ni mkweli tusiwe tunajidanganya. Pamoja na Yanga kununua mechi, marefa, kurogo lakiki timu wanayo nzuri kila idara( sisi namba 6 na CB ni changamoto ukimtoa Inonga), wanakocha mzuri na anaijua timu ( Nabi Simba tulimtaka kabla Yanga hawajaingia mipango yetu wakimtumia Manara), pia wanabenchi la ufundi zuri (Kaze ana leseni ya kufundisha timu ya ligi ya mabingwa Afrika, yupo yule mkongomani kocha wao wazamani pia). Timu inacheza kimfumo, leo walikuwa wanaweza mechi hii kumuweka mechi Feisal, mechi ijayo benchi Aziz Ki, mechi ijayo Banga benchi. Ukicheza kimfuko hutegemei mtu mmoja, pale Yanga mwenye uhakika ni Mayele tu ambaye sasa baada ya Musonda kuja anaweza mechi zingine akapumzishwa na bado angalia na usajili wao wanaohusishwa usishangae wanamuongeza Bruno wa Singida United. Lazima tukubali japo GSM ni mpigaji tu pale yanga lakini anajua kula na kipofi ni lazima timu ifanye vizuri mashabiki wafurahi.

Sisi huku ndio Mo analalamika pesa usajili zinaliwa wanaletwa wachezaji kima Sawadogo, CEO kwa sababu anazuia upigaji wamemkataa, makundi simba kuna kundi halimtaki Mo , kuhujuamiana sasa timu utatengeneza saa ngapi? Tuambiane ukweli tu Yanga wako vizuri na kitu pekee tulichokuwa tunajivunia Simba ni mafanikio kimataifa sasa Yanga wanaenda kufikia na hata kutuzidi mafanikio. Muda si mrefu tutasema nusu fainali kitu gani sisi tulifika faina 1993 na Asec. Labda tunadilike tuambiane ukweli
Hakuna cha mkweli mkuu wewe ni Yanga ha ha usiogope kujitangaza waziwazi
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Jadili mada kiushabiki sio matusi
Kuna cha kujadiiwa hapa!? Mimi na ww nani kamtukana mwenzake usitake nikufungulie matusi ya ukweliukweli uzi waki uuone mchungu huu nimejariby kukuheshimu tu kwa sababu najua matusi sio hulka yako,muulize mwenzio Genta ananijua vizuri tu ingekuwa yule ndio kantukana kama wewe ulivyomkashifu mama yangu hapo huu uzi ungeshakuwa uwanja wa vita hili hata mods wanalijua..

Mbumbumbu/makolo ni majina ya utani ya simba kutoka kwa mashabiki wa yanga na imezoelekea hivyo ni kama nyie mnavyoita yanga ni utopolo halijawa kuwa tatzo tukiitana hivyo mpaka kufikia hatua ya kutukanana mama zetu na sijui kwanini nimejaribu kukuheshimu,fine najua mdomo wako uliteleza..

But again unataka tujadili kitu ambacho tumeshajadili mpaka tumechoka March 12 2023 ulileta uzi huu huu tukajadili content za mule na mimi nilikuwa mchangiaji mkubwa sana wa ule uzi nikatoa facts zangu ambazi hukuwahi kujibu hata moja zilikuingia,leo hii umeleta uzi uleule unataka tuchangie tuchangie nini sasa unavyodhani wewe ikiwa hoja za kwenye uzi huu https://www.jamiiforums.com/threads/iffhs-yatoa-timu-10-bora-za-caf-simba-ya-9.2074677/ ambao ni sawa tu na huu ulioanzisha leo hukuzijibu!? Nilipasea nkutukane vita ambayo naiweza kwa ufanisi kabisa sema nimekuheshimu kwa sababu nilizotaja hapo juu
 
Hata akili ya kutofautisha nyakati huna? IFFHS hutoa kila baada ya muda fulani. Mara ya mwisho ilikuwa February 2023
Nillijua tu mtu kwa akili mdogo au kutosoma vizuri post yangu ataingia mtego huu ,neno "kama" nililolitumia linakata mzizi wa fitina ikimaanisha hakuna jipya ni aina ya mafanikio yale yale kuhusu Top 10 kitu ambacho imekuwa kama wimbo wa Taifa kwenu.
 
Nillijua tu mtu kwa akili mdogo au kutosoma vizuri post yangu ataingia mtego huu ,neno "kama" nililolitumia linakata mzizi wa fitina ikimaanisha hakuna jipya ni aina ya mafanikio yale yale kuhusu Top 10 kitu ambacho imekuwa kama wimbo wa Taifa kwenu.
Sasa wewe unaumia nini tukileta hapa. Kama habari haikufai wewe itafaa wengine.
 
Bora kwa kutumia kipimo gani mkuu maana zote zilikuwa champions league kwa kutumia kipimo hiki ipi ni bora?
Timu inaweza kuwa nzuri jana leo ikawa mbovu, na ile iliyokuwa mbovu jana leo ikawa nzuri.
Chukulia mfano wa mbabe wa UTO, IHEFU kabla hajamfunga. Nani alitarajia kuwa inaweza kujinasua mkiani na iangalie performance yake kwa sasa.
 
Timu inaweza kuwa nzuri jana leo ikawa mbovu, na ile iliyokuwa mbovu jana leo ikawa nzuri.
Chukulia mfano wa mbabe wa UTO, IHEFU kabla hajamfunga. Nani alitarajia kuwa inaweza kujinasua mkiani na iangalie performance yake kwa sasa.
Sawa sasa kwa maelezo haya je nitakuwa sahihi nikisema simba ni nzuri na yanga mbovu kwa kigezo changu cha champions league!?
 
Back
Top Bottom