IFFHS Ranking: Simba SC ya tisa, Yanga haimo

Huyu Chama Baleke hua ni empty set kichwani hivi kwa vigezo gani Future, Simba , Pyramid ni kubwa kuliko Esprence De Tunis, na TP Mazembe?
 
Hawa jamaa ni waongo sana, yaani Future fc iwe juu ya Simba na Mamelod sundowns?, wanatumia njia gani kupanga timu?
Hapa ninahitaji kueleweshwa.
Scars
 
izo ndo moja kwenye vigezo zikitokea fursa kama za Super cup Simba wanahusika.maandalizi tu mtu anakunja mibilioni.
 
Unamlaumu yeye kwani ndiyo kapanga mkuu yeye si kaleta taarifa na source kakupa!! Hebu ingia huko uwaandikie malalamiko yako huenda wakakusikia wakarekebisha
Sina mda wa kuhangaika na vitu vya kitoto, IFFHS ni wajinga wajinga Esprence De Tunis miaka nenda rudi waki fail ni nusu final leo hao future wapo juu yao
 
Yanga wakitaka wafike huku ni lazima washiriki Ligi ya Mabigwa africa miaka 4 mfululizo na wafike walau nusu fainali. Ni kweli bad club ndogo sana.
Sasa kushiriki cha ndimu tu mwaka huu mdomo kibao.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Simba nguvu moja
UTO mwiko nyuma 🐸
 
Ww choko mbona hujibu comment yangu!? Nimekuja kwa ajili ya Vawulence kuntukania mama yangu imeniuma sana aisee,sema nilikupa tittle ya uungwana ambayo nimegundua huna
Huna hadhi ya kujibiwa na mimi. Wakati mwingine mwite mama yako mbumbumbu,akifurahi ndio uje uniite mimi
 
Utauwa Watu Bure Wewe Hawachelewi Kwenda CAS
 
Huna hadhi ya kujibiwa na mimi. Wakati mwingine mwite mama yako mbumbumbu sio mimi
Choko wewe mimi siishi kwa kurambwa mat*k na wahindi kama wewe,nyie watu mliozaliwa kwa kujambwa na mama zenu ni products ambazo zimeumbiwa kuja kuhangaika kwa kupakatwa na wahind na daily itakuwa hivyo..baba yako angevaa Condom wakati wa kukutafuta wewe na yule Kahaba ingekuwa ni uamuzi mzuri sana na angekuwa na nafasi yake mbinguni..
 
Haya ndio majibu sasa sio yale ya mwanzo ya kubinua binua mataqo kulilia kujibiwa na mwanaume. Screen shot hapo kamuonyeshe mama yako kuna jamaa anakuita mbumbumbu, yeye na wewe
 
Vyura wapo kwenye madimbwi msimu huu wa mvuaπŸ˜‚
 
Haya ndio majibu sasa sio yale ya mwanzo ya kubinua binua mataqo kulilia kujibiwa na mwanaume. Screen shot hapo kamuonyeshe mama yako kuna jamaa anakuita mbumbumbu, yeye na wewe
Nimwambie kwamba mke halali wa Mo Gulham Husein Dewji au sio! Katika mademu ambao nawacrush humu JF ni wewe thus why nikawa na shahuku nijue utanijibu niniπŸ˜‹πŸ˜‹..Soon utakuwa mke wa pili kwangu baada ya baba yako(mtoto mwenye uno la paka chongo)a.k.a mvivu wa kuvaa Condom aliyesababisha tumepata kipa katoka humu jukwaani..
 
Hizi ranking sometimes kimeo, mamelod na Simba wanazidiwa na Pyramids, future Fc na Al Hilal wakati hata kwenye mashindano serious hazipo ?
 
Sawa sasa kwa maelezo haya je nitakuwa sahihi nikisema simba ni nzuri na yanga mbovu kwa kigezo changu cha champions league!?
Kwa kuwa tunazungumzia ligi ya NBC, basi ubora wa timu upimwe kwa mashindano yote au at least kwa mashindano husika ambayo ni NBC PL.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…